By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: UPUNGUFU WA DAMU SALAMA WACHANGIA VIFO VYA WAJAWAZITO KAGERA
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Uncategorized > UPUNGUFU WA DAMU SALAMA WACHANGIA VIFO VYA WAJAWAZITO KAGERA
Uncategorized

UPUNGUFU WA DAMU SALAMA WACHANGIA VIFO VYA WAJAWAZITO KAGERA

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/04 at 8:17 AM
By Tanzania Kids Time 2 Min Read
Share
SHARE

Uhaba
wa damu katika benki ya damu salama mkoani Kagera, yatajwa kuchangia vifo vya
Mama na mtoto kutokana na kupoteza damu nyingi wakati wa kujifungua.
Hayo
yameelezwa na Mratibu wa Huduma ya Mama na Mtoto mkoani Kagera, Neema Kyamba
wakati akizungumza na Tanzania Kids Time/UN Radio huku akibainisha kwamba uhitaji
wa damu salama kwa wajawazito ni mkubwa hasa wanaojifungua kwa njia ya
Upasuaji.
“jamii
ijitokeze kuchangia damu salama maana uwezo wetu bado ni mdogo, pia jamii
izingatie dalili za hatari kwa wajawazito na kuondokana na imani potofu ili
kuokoa maisha ya mama na mtoto wakati wa kujifungua” amesema.
Kaimu
Mganga Kuu wa Mkoa wa Kagera Dr, Kiwia Hassan amedai kuwa, kwa miaka mitatu
mfululizo mkoa huo haujafikia lengo la ukusanyaji wa damu salama kwa  asilimia 100 ambapo ukusanya huo hufikia
asilimia 50 hadi asilimia 60 kwa Mwaka.
“mwaka
2017 tumekusanya unit 9500, mwaka 2018 tumekusanya unit 13,500 na mwaka jana
unit 16,000 sasa ili kuendelea ili tupate damu ya kutosha tunaimarisha zile
timu za ukusanyaji wa damu salama katika ngazi ya wilaya, vituo  na mkoa” amesema. 
Mratibu
Kiongozi wa timu ya Ukusanyaji  damu
salama mkoani Kagera Amos Bashweka amesema kuwa,  asilimia kubwa ya wananchi wanashindwa
kujitokeza kuchangia damu kwa sababu ya woga huku Taasisi mbalimbali za  Elimu, Dini na Kijeshi ndizo hujitoa
kuchangia damu.
Aidha
Bashweka amewataka wananchi kuondoa woga na kujitokeza kuchangia damu, kwani
wapo wahanga wengi wa ajali, watoto chini ya miaka mitano, na magonjwa mengine
yanayohitaji damu Salama hivyo ni  muhimu
Damu kupatikana wakati wote katika vituo vya afya.
Na; Rosemary Eliasi- Kagera

You Might Also Like

ENERGY AND NEO-COLONIALISM IN AFRICA, NO ANSWERS?

WAHITIMU WATAKAO JIUNGA DARASA LA KWANZA MWAKA 2023

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIUCHUMI

SIKU YA WATOTO WALIOZALIWA KABLA YA KUKOMAA

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIELIMU

Tanzania Kids Time March 3, 2020
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article KIJIJI CHA MTIMUA BINGWA WA KUWARUSHIA MAJINI WATOTO MKOANI GEITA
Next Article WATOTO ELFU 4238 HAWAJAANDIKISHWA DARASA LA AWALI.
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?