By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: Uongozi wa shule ya msingi GONGONI katika halmashauri ya Manispaa ya TABORA, umeweka mikakati ya kutoa majaribio ya masomo kila wiki ili kuwajengea wanafunzi uwezo kitaaluma na kuongeza ufaulu.
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Uncategorized > Uongozi wa shule ya msingi GONGONI katika halmashauri ya Manispaa ya TABORA, umeweka mikakati ya kutoa majaribio ya masomo kila wiki ili kuwajengea wanafunzi uwezo kitaaluma na kuongeza ufaulu.
Uncategorized

Uongozi wa shule ya msingi GONGONI katika halmashauri ya Manispaa ya TABORA, umeweka mikakati ya kutoa majaribio ya masomo kila wiki ili kuwajengea wanafunzi uwezo kitaaluma na kuongeza ufaulu.

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/04 at 8:18 AM
By Tanzania Kids Time 1 Min Read
Share
SHARE


Uongozi wa shule ya msingi GONGONI
katika halmashauri ya Manispaa ya TABORA, umeweka mikakati ya kutoa majaribio
ya masomo kila wiki ili kuwajengea wanafunzi uwezo kitaaluma na kuongeza ufaulu.
 Akizungumza
na tanzaniakidstime blog Mwalimu
mkuu wa shule ya msingi GONGONI, FELIX GAITAN amesema mikakati hiyo, imesaidia
kuongeza ufaulu kwa wanafunzi ambapo katika matokeo ya darasa la saba mwaka
jana, walishika nafasi ya tano kiwilaya.
Aidha GAITAN amesema mkakati mwingine
ni kuhakikisha walimu na wanafunzi wanafika kwa wakati shuleni ili kuendelea na
ratiba ya masomo ya kila siku.
Baadhi ya wanafunzi wa darasa la saba
katika shule hiyo, wamesema kwamba mkakati wa kupewa majaribio kila wiki
umewasaidia na ikiwa tayari wanaendelea kujipanga kufaulu vizuri katika
mitihani ya darasa la saba mwaka huu 2018.
Kwa mujibu wa mwalimu mkuu wa shule ya
msingi GONGONI amesema mkakati huo umesaidia shule hiyo mara kwa mara kuwa
katika shule kumi bora kiwilaya katika matokeo ya mtihani wa darasa la SABA
mwaka 2017. Imetumwa na mwandishi wetu kutoka Tabora.

You Might Also Like

ENERGY AND NEO-COLONIALISM IN AFRICA, NO ANSWERS?

WAHITIMU WATAKAO JIUNGA DARASA LA KWANZA MWAKA 2023

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIUCHUMI

SIKU YA WATOTO WALIOZALIWA KABLA YA KUKOMAA

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIELIMU

Tanzania Kids Time February 9, 2018
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article theluthi ya watoto waliozaliwa na uzito wa chini hufariki ndani ya masaa 12.
Next Article MGANGA MKUU WA MKOA WA MOROGORO DR.FRANK JACOB AMEWATAKA WAZAZI, WALEZI NA JAMII KWA UJUMLA KUZINGATIA KANUNI ZA AFYA ILIKUONDOKANA NA TATIZO LA UTAPIA MLO.
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?