By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: Wazazi na walezi Manispaa ya Morogoro wameshauriwa kuwalea watoto katika malezi bora kwa kuzingatia misingi na kanuni za Afya.
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Uncategorized > Wazazi na walezi Manispaa ya Morogoro wameshauriwa kuwalea watoto katika malezi bora kwa kuzingatia misingi na kanuni za Afya.
Uncategorized

Wazazi na walezi Manispaa ya Morogoro wameshauriwa kuwalea watoto katika malezi bora kwa kuzingatia misingi na kanuni za Afya.

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/04 at 8:18 AM
By Tanzania Kids Time 1 Min Read
Share
SHARE
 Wazazi
na walezi Manispaa ya Morogoro wameshauriwa kuwalea watoto katika malezi bora
kwa kuzingatia misingi na kanuni za Afya ili kuwaepusha na magonjwa ya lishe
duni kama utapiamlo.
Akizungumza
na tanzaniakidstime Mwalimu wa shule ya awali ya Ebeneza  Irene Mallya ameeleza kuwa, wazazi na walezi
hawazingatii muda maalumu uliopangwa kwenda kuwachukua watoto wao shuleni hapo
jambo ambalo hupelekea mtoto kukaa kwa muda mrefu pasipo kupata chakula.
Mwalimu
Mallya amesema kwamba, wazazi na walezi wanatakiwa kufuatilia kwa ukaribu, maendeleo
ya watoto wanapokuwa katika shule mbalimbali  ili kufahamu mapungufu yaliyopo shuleni hapo,
kufuatilia mwenendo wa mwanafunzi na waalimu.
Hata
hivyo Mwalimu Mallya amewataka wazazi na walezi wa shule hiyo, kufuata
utaratibu wa malipo ya ada kwa watoto hao ili kuongeza hamasa kwa walimu katika
utoaji bora wa Elimu.

You Might Also Like

ENERGY AND NEO-COLONIALISM IN AFRICA, NO ANSWERS?

WAHITIMU WATAKAO JIUNGA DARASA LA KWANZA MWAKA 2023

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIUCHUMI

SIKU YA WATOTO WALIOZALIWA KABLA YA KUKOMAA

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIELIMU

Tanzania Kids Time February 9, 2018
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article watoto wengi tanzania wanao zaliwa wanauzito wa chini..
Next Article theluthi ya watoto waliozaliwa na uzito wa chini hufariki ndani ya masaa 12.
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?