By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: Wazazi na Walezi Mji mdogo wa Ifakara mkoani morogoro wameshauliwa kuwapeleka Watoto waokwenye masomo ya ziada baada ya kutoka shuleni ilikuwasaidia ufahamu wao.
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Uncategorized > Wazazi na Walezi Mji mdogo wa Ifakara mkoani morogoro wameshauliwa kuwapeleka Watoto waokwenye masomo ya ziada baada ya kutoka shuleni ilikuwasaidia ufahamu wao.
Uncategorized

Wazazi na Walezi Mji mdogo wa Ifakara mkoani morogoro wameshauliwa kuwapeleka Watoto waokwenye masomo ya ziada baada ya kutoka shuleni ilikuwasaidia ufahamu wao.

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/04 at 8:18 AM
By Tanzania Kids Time 1 Min Read
Share
SHARE

IFAKARA  FEBRUARY 14, 2018
  Martini  Center ni Kituo cha   masomo ya ziada kilichopo katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara mkoani Morogoro  kimewaomba  wazazi, walezi wasiwache watoto nyumbani mara  baada ya kutoka  shuleni  ni vyema kuwapeleka katika vituo vya masoma ya ziada ili watoto wapate muda mrefu wakusoma lengo likiwa ni kufaulu kwakiwango kinacho takiwa kwenye masomo yao.
Akizungumza na Tanzania Kidistime Mwalimu Martini  amesema  hayo baada ya kuona baadhi ya wazazi kuwaacha watoto wanapotoka shule bila kuwatafutia masoma ya ziada ambayo husaidia mwanafunzi kuongeza molali na mazingatio ya masoma pamoja na kupata hali ya kujiamini wakati wote.
 Aidha Martini amesema mwanafunzi  hmijengea hali nzuri ya  kiafya , akili na kuwa na msukumo wa kusoma  kila siku hali ambayo huweza kumuongezea mtoto uelewa zaidi wa masomo yake.
Hata hivyo Mwalimu Olesti Asenga wa Martini Center amewaomba walimu wenzake wafundishe wanafunzi kwa maadili mema na kufuata  mitaala iliyopo na ni bora kutafuta maarifa zaidi juu ya ufundishaji wa watoto  wanapopata muda wa masomo hayo wazingatie masomo yao wakati wote kwani elimu ndio msaada wa maisha yao.

You Might Also Like

ENERGY AND NEO-COLONIALISM IN AFRICA, NO ANSWERS?

WAHITIMU WATAKAO JIUNGA DARASA LA KWANZA MWAKA 2023

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIUCHUMI

SIKU YA WATOTO WALIOZALIWA KABLA YA KUKOMAA

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIELIMU

Tanzania Kids Time February 14, 2018
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article wana funzi kuungwa mkono huko Sudan Kusini.
Next Article Muakirishi wa unicef tanzania zamani maniza amesema hakuna kuta tamaa dhidi ya unyanyasaji wa watoto na wanawake.
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?