By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: watoto wachanga zaidi ya watatu hadi wanne wanalazimika kulazwa kwenye kitanda kimoja kwa upungufu wa vitanda kwenye kituo cha afya.
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Uncategorized > watoto wachanga zaidi ya watatu hadi wanne wanalazimika kulazwa kwenye kitanda kimoja kwa upungufu wa vitanda kwenye kituo cha afya.
Uncategorized

watoto wachanga zaidi ya watatu hadi wanne wanalazimika kulazwa kwenye kitanda kimoja kwa upungufu wa vitanda kwenye kituo cha afya.

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/04 at 8:17 AM
By Tanzania Kids Time 1 Min Read
Share
SHARE


February
23, 2018
Kituo 
cha  Afya  cha Kibaoni, wilaya ya Kilombero Mkoani Morogoro
kinakabiliwa  na  changamoto  ya watoto wachanga zaidi ya watatu
hadi wanne kulazwa kwenye kitanda kimoja.
Wakizungumza
na Tanzaniakidstime baadhi ya akina mama wamesema kuwa hali hiyo ni changamoto
kwao, kwani hulazimika kuwalaza watoto wachanga kwenye kitanda kimoja zaidi ya
watatu kutokana na uhaba wa wodi.
Aidha
pamoja na changamoto hiyo inayowakabili akina mama hao pindi wanapojifungua 
wamesema kuwa, hawana njia mbadala zaidi ya kufanya hivyo  kutokana na
huduma hiyo katika kituo cha Afya  Kibaoni  kutolewa  bure.
Mratibu
wa Huduma za Afya  ya Uzazi kwa Babaa, Mama na Mtoto Halmashauri ya Wilaya
ya Kilombero Bi Dionisia Danda amekiri Kuwepo kwa changamoto hiyo, inatokana na
chumba cha wazazi kuwa kidogo ukilinganisha na idadi kubwa ya wazazi ambao
hujifungua katika kituo hicho.
Pia
 Bi. Dionisia amesema kuwa, zaidi ya
watoto 320 hadi watoto 400 huzaliwa ndani ya mwezi mmoja pekee, hivyo idadi
hiyo ya watoto hailingani na uwezo wa wodi hiyo ya wazazi
Hata
hivyo amebainisha kwamba, wanamkakati wa kuongeza majengo hususani wodi ya  wazazi ili kuitatua changamoto hiyo.

You Might Also Like

ENERGY AND NEO-COLONIALISM IN AFRICA, NO ANSWERS?

WAHITIMU WATAKAO JIUNGA DARASA LA KWANZA MWAKA 2023

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIUCHUMI

SIKU YA WATOTO WALIOZALIWA KABLA YA KUKOMAA

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIELIMU

Tanzania Kids Time February 23, 2018
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article hiii ni ishara ya upendo
Next Article watu ambao hukaa na watoto ni vema kuwa makini kwa kuwakumbusha watoto kujisomea .
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?