By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: UN yasema Watoto wakimbizi nchini Rwanda sasa wanaona nuru katika maisha yao
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Uncategorized > UN yasema Watoto wakimbizi nchini Rwanda sasa wanaona nuru katika maisha yao
Uncategorized

UN yasema Watoto wakimbizi nchini Rwanda sasa wanaona nuru katika maisha yao

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/04 at 8:17 AM
By Tanzania Kids Time 1 Min Read
Share
SHARE

Watoto wakimbizi nchini Rwanda sasa wanaona nuru katika maisha yao
kutokana na ushirikiano kati ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia
wakimbizi UNHCR na mfuko wa H&M.

Ubia huo unawezesha watoto wakimbizi nchini Rwanda kupata elimu kwa kuwa
wanaishi katika makazi salama na zaidi ya yote wanapatiwa vifaa vya shule na
kuwa na uhakika wa maisha yao ya baadaye.Miongoni mwa wanufaika wa ushirika huo
ni mwanafunzi Godfried kutoka Burundi ambaye sasa anaishi kwenye kambi ya
wakimbizi ya Mahama nchini Rwanda.

Godfried anasema tangu akiwa mtoto mdogo alikuwa na ndoto ya kuwa mwandishi
wa habari, lakini machafuko nchini Burundi yalififisha ndoto hiyo.Alilazimika
kukimbilia Rwanda ambako sasa angalau nuru inamuangazia.Sasa  yuko
salama kambini na ndoto ya Godfried ya kuwa mwandishi wa habari inaonekana
kutimia kwa kuwa..

 “Sasa niko salama na
ninahudhuria darasani.  Nina furaha kwamba wanatupatia vifaa vya
shule .”
UNHCR inasema duniani kote ni asilimia 61 tu ya watoto
wakimbizi ndio wana fursa ya kuendelea na masomo ukimbizini. Kwa taarifa zaidi
tembele UN RADIO.

You Might Also Like

ENERGY AND NEO-COLONIALISM IN AFRICA, NO ANSWERS?

WAHITIMU WATAKAO JIUNGA DARASA LA KWANZA MWAKA 2023

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIUCHUMI

SIKU YA WATOTO WALIOZALIWA KABLA YA KUKOMAA

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIELIMU

Tanzania Kids Time May 1, 2018
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article Mtoto chini ya umli wa miaka 14 asi chanjwe bila ridhaa ya wazazi au walezi.
Next Article Mafuriko na mapolomoko ya wapahofu wa Rohingya nchini Bangladesh, Huku Unicef ikiwahulumia watoto.
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?