By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: Afisa Mtendaji asema tutahakikisha tunawakamata wazazi ambao wanashindwa kuwatimizia mahitaji ya msingi ya watoto wao ikiwemo sare za shule.
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Uncategorized > Afisa Mtendaji asema tutahakikisha tunawakamata wazazi ambao wanashindwa kuwatimizia mahitaji ya msingi ya watoto wao ikiwemo sare za shule.
Uncategorized

Afisa Mtendaji asema tutahakikisha tunawakamata wazazi ambao wanashindwa kuwatimizia mahitaji ya msingi ya watoto wao ikiwemo sare za shule.

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/04 at 8:17 AM
By Tanzania Kids Time 1 Min Read
Share
SHARE

Wanafunzi katika shule ya msingi Kagera
Kata ya Ikunguigazi Mkoani Geita Wamepata changamoto kuhusu  Sare za shule kwao jambo linaloshusha ufanisi
wa  kitaaluma pindi wanapokuwa darasani.
  
Mwalimu mkuu wa shule hiyo Nd. Mahebe Chigulu
amesema Watoto ambao hawana sare za shule hususani viatu wanakuwa katika hatari
kubwa ya kuambukizwa magonjwa wanapoenda msalani pasipo kuvaa viatu.
Hata hivyo amefafanua kuhusu  kisaikolojia watoto ambao hawana Sare timilifu
wanaathirika, kwani kunabaadhi ya wanafunzi wanatabia ya kunyanya paa wenzao.
 Kwa
baadhi ya  wazazi wamesema hali ngumu ya
maisha,migongano katika familia pamoja na matumizi mabaya ya pesa kwa baadhi ya
wazazi vimekuwa ni sababu kuu za wao kushindwa kuwanunulia sare za shule watoto
wao.
  
  Afisa
mtendaji wa kijiji cha Kagera amesema watahakikisha wanawakamata wazazi ambao
wanashindwa kuwatimizia mahitaji ya msingi ya watoto wao ikiwemo sare za shule
na ameitaka jamii kushiriki kwa pamoja katika kuwanunulia sare za shule.
NA NICKORAUS PAUL LYANKANKANDO GEITA.

You Might Also Like

ENERGY AND NEO-COLONIALISM IN AFRICA, NO ANSWERS?

WAHITIMU WATAKAO JIUNGA DARASA LA KWANZA MWAKA 2023

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIUCHUMI

SIKU YA WATOTO WALIOZALIWA KABLA YA KUKOMAA

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIELIMU

Tanzania Kids Time September 19, 2019
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article Hapa ndipo wanapo somea watoto hawa tangu chekechea hadi walipo mpata msamalia mwema wa wakuunga mkono ujenzi wa jengo moja la darasa, Wilaya ya Kaliua Mkoani Tabora.
Next Article Tunaomba wasamalia wema waje kuwajengea choo watoto hawa wenye mahitaji maalumu,bi, Mkonongo kutoka mkoani Songwe.
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?