By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: VYUMBA (6) KWA WANAFUNZI (1088) hii ni idadi ambayo haiendani na wingi wa wanafunzi waliopo,hiyo staajabu ya mwalimu mkuu wa shule ya msingi kagera huko mkoani geita ndg.MAHEBE CHIGULU.
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Uncategorized > VYUMBA (6) KWA WANAFUNZI (1088) hii ni idadi ambayo haiendani na wingi wa wanafunzi waliopo,hiyo staajabu ya mwalimu mkuu wa shule ya msingi kagera huko mkoani geita ndg.MAHEBE CHIGULU.
Uncategorized

VYUMBA (6) KWA WANAFUNZI (1088) hii ni idadi ambayo haiendani na wingi wa wanafunzi waliopo,hiyo staajabu ya mwalimu mkuu wa shule ya msingi kagera huko mkoani geita ndg.MAHEBE CHIGULU.

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/04 at 8:17 AM
By Tanzania Kids Time 2 Min Read
Share
SHARE

  
 
Serikali imeombwa kukamilisha ujenzi wa vyumba vya madarasa vinavyo
jengwa kupitia nguvu za wananchi,ili kuendelea kuwatia moyo wananchi
wanaojitolea katika ujenzi katika shule za msingi na sekondari.
  
Hayo yamesemwa na Afisa mtendaji wa kijiji cha kagera kata ya
ikunguigazi wilaya ya Mbogwe mkoani Geita Ndg.DAUDI SAMANDITO GOMBO wakati
akizungumza na TKT Radio,Amesema wamejenga vyumba vinne vya madarasa na
serikali ilitakiwa kupaua vyumba hivyo baada ya wananchi kujenga maboma yote.
   Aidha
amewaomba wadau wa elimu kujitokeza kutoa misaada ilikuwapunguzia mzigo
wananchi wanaojitoa na akaiomba serikali kutochelewa katika ukamilishaji wa
vyumba vya madarasa vinavyojengwa kwa kupitia nguvu za wananchi.
 
Hata hivyo mwalimu mkuu wa shulehiyo MAHEBE
CHIGULU,
Amesema shule yake ina wanafunzi 1088 idadi ambayo haiendani na idadi
ya vyumba vilivyopo,kwani mahitaji ya vyumba katika shule hiyo ni vyumba 26 na
vilivyokamilika ni vyumba 6 tu.
  
Mwenyekiti wa kamati ya shule hiyo ndg.PIUS NDULU,Amesema ili
kukamilisha vyumba hivyo wao kama kamati wamejipangia kila mwaka wanajenga
vyumba vinne vya madarasa kwa kupitia michango ya wananchi.
   
Kwa upande wao wananchi wamesema wao walijitoa vya kutosha katika ujenzi
wa vyumba hivyo,kutokana na umuhimu wa elimu kwa watoto kwa maisha ya badae.
                              NA NICKIRAUS PAUL LYANKANDO KUTOKA GEITA.

You Might Also Like

ENERGY AND NEO-COLONIALISM IN AFRICA, NO ANSWERS?

WAHITIMU WATAKAO JIUNGA DARASA LA KWANZA MWAKA 2023

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIUCHUMI

SIKU YA WATOTO WALIOZALIWA KABLA YA KUKOMAA

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIELIMU

Tanzania Kids Time September 23, 2019
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article Tunaomba wasamalia wema waje kuwajengea choo watoto hawa wenye mahitaji maalumu,bi, Mkonongo kutoka mkoani Songwe.
Next Article Wanafunzi wa tumia Muda wa mapumziko Kulawitiana huko shinyanga.
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?