By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: Kukamilika kituo cha afya zaidi ya mwaka mmoja sasa na bado hakuna wahudumu hakina msaada wowote hatakama kimejengwa hapa,Maana wakezetu wanaendelea kujifungulia vichakani,wakiwa njiani kufuata hudumahiyo.Ni Wilaya ya Geita Vijijini iliopo mkoani wa Geita.
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Uncategorized > Kukamilika kituo cha afya zaidi ya mwaka mmoja sasa na bado hakuna wahudumu hakina msaada wowote hatakama kimejengwa hapa,Maana wakezetu wanaendelea kujifungulia vichakani,wakiwa njiani kufuata hudumahiyo.Ni Wilaya ya Geita Vijijini iliopo mkoani wa Geita.
Uncategorized

Kukamilika kituo cha afya zaidi ya mwaka mmoja sasa na bado hakuna wahudumu hakina msaada wowote hatakama kimejengwa hapa,Maana wakezetu wanaendelea kujifungulia vichakani,wakiwa njiani kufuata hudumahiyo.Ni Wilaya ya Geita Vijijini iliopo mkoani wa Geita.

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/04 at 8:17 AM
By Tanzania Kids Time 1 Min Read
Share
SHARE

  
 Kilio cha
wananchi wa Kijiji cha Magenge  Wilaya ya
Geita Vijijini, waendelea kuiomba serikali kuwaletea Wahudumu wa Afya kwenye
zahanati ya kata yao maana wanatembea zaidi ya msaa  (5) kutoka kijijini kwao kwenda Katan
nyingine.
    
   Wakizungumza
na Tkt Radio Baadhi ya Wanawake Keflay
Samweli
nawengine kwasharti lakutotajwa majina yao Kijijini hapo, wamesema  adha wanazo kumbana nazo nikubwa hususani
wakati muda unapofika wa mama kuhudhuria kiliniki ya ujauzito, Kupeleka Watoto kupata chanjo,Matibabu na
Ushauri inakuwavigumu maana wanatembea zaidi ya kilometer 5 kufuata huduma hiyo
katika Kata nyingine ambako huduma ya Mama na Mtoto hutolewa.
  
   Hatahivyo  Ndg.
Nikodem Paul
amesema Zahanati hiyo imeanza kujengwa tangu mwaka 1994 na
imekamilika mwishoni mwa mwaka uliopita 
wa serikali,lakini wahudumu hawajaletwa kwaajili ya kuwahudumia wananchi,
Jambo linalosababisha Mama wajawazito kujifungulia vichakani kutokana na
kutembea muda mrefu kufuata huduma ya Zahanati. Kwa upande wa uongozi wa
serikali kwa ngazi ya Mwenyekiti wa Kijiji Ndg.Tano Manamba amewaomba wananchi kuendelea kuvumilia maana serikali
inakumbuka jambo la Zahanati hiyo.
 

You Might Also Like

ENERGY AND NEO-COLONIALISM IN AFRICA, NO ANSWERS?

WAHITIMU WATAKAO JIUNGA DARASA LA KWANZA MWAKA 2023

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIUCHUMI

SIKU YA WATOTO WALIOZALIWA KABLA YA KUKOMAA

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIELIMU

Tanzania Kids Time September 30, 2019
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article Wanafunzi wa tumia Muda wa mapumziko Kulawitiana huko shinyanga.
Next Article Sina fuvu kisogoni kwangu isipokua Ngozi na nywere tu,Maji maji ndio yalio jaa kisogoni, naomba msaada wa kifedha kwa wa Tanzania iliniendelee kupata matibabu nipone niendele na masomo.
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?