By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: Sina fuvu kisogoni kwangu isipokua Ngozi na nywere tu,Maji maji ndio yalio jaa kisogoni, naomba msaada wa kifedha kwa wa Tanzania iliniendelee kupata matibabu nipone niendele na masomo.
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Uncategorized > Sina fuvu kisogoni kwangu isipokua Ngozi na nywere tu,Maji maji ndio yalio jaa kisogoni, naomba msaada wa kifedha kwa wa Tanzania iliniendelee kupata matibabu nipone niendele na masomo.
Uncategorized

Sina fuvu kisogoni kwangu isipokua Ngozi na nywere tu,Maji maji ndio yalio jaa kisogoni, naomba msaada wa kifedha kwa wa Tanzania iliniendelee kupata matibabu nipone niendele na masomo.

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/04 at 8:17 AM
By Tanzania Kids Time 2 Min Read
Share
SHARE

   Mtoto mwenye
umri wa miaka kumi na mbili (12) jina
lake limehifadhiwa , anaeishi na Baba yake mzazi katika mji mdogo wa Ifakara
uliopo Mkoani Morogoro, tangu kuzaliwa kwake amekuwa na Uvimbe kwenye kichwa
chake ulio sababisha kichwa kujaa maji eneo lote lakisogo kichwani kwake,
natatizo hilo liligundulika miaka mitatu badae (3) baada ya kinyozi wa saluni kupitisha mashine yake na kugundua
sehemu ya kichogo cha Mtoto huyo sio kigumu kama wengine isipokuwa ninywere na
ngozi ndivyo vilivyo ziba na kuziba aendelee kuwa hai mpaka sasa.
    
   TKT Radio ilifanikiwa kukutana na familia , Baba
yake ambae ni Sabas Mapande Yeye ni
mkulima anahangaika  kutafuta pesa kwa
shughuli zake za kilimo ilimradi tu, Mtoto apate matibabu hospitali ya Taifa
Muhimbili, ambako anatibiwa tangu ugonjwa huo ulipobainika, na baada ya
kubainika ungonjwa huo mwaka mmoja baadae Mama
mzazi wa Mtoto huyo akaachana na Baba mzazi wa mtoto na kwenda kuolewa
na mwana ume mwingine hadi sasa.
  
    Aidha Inatakiwa laki tisa (Tsh,900,000/=)
kila baada ya miezi mitatu,hii nikwaajili ya Matibabu,Chakula,Usafiri na
kulipia chumba chakulala kwasiku zote wazokuwa  wameambiwa na Daktari kusubiri wakiwa Jijini
Dar es Salaam,Ndg. Mapande amelejea
kwa watanzania ilikuona mwenye uwezekano wakumsaidia kumnunulia Mashine ya
kumwagiria kwaajili ya bustani ambao ndio utakuwa mtaji mkubwa kwake , ilianze
kilimo hicho kwani shamba analo lililoko bondeni na lina maji yakutosha shabaa
yake ikiwa kusitisha kuomba omba pesa kwa watu ilikumtibia mwanae.
   
    Hata hivyo Mapande  amesema 
kufikia mwezi December 
inatakiwa  zaidi ya Mlioni moja na
nusu (1500,000/=) kwaajiri ya kununua kipande cha Fuvu la badia ilikumuekea
eneo lote la kisogo ambalo liko wazi, Na TKT Radio ili mtafuta Daktari wa magonjwa
 ya Ubongo ilikufahamu Sababu zinazo
sababisha kutokea kwa  Ugonjwa huo kwa
Watoto wadogo, ilishindikana kutokana na kuwa na Ratiba ngumu ya kikazi tutakapo mpata tuta chapisha majibu yake hapa.
  Tafadhali
wasiliana na Baba wa Mtoto huyo ambae ni Sabas
Mapande
                                   Sabas
Mapande +255684585251.

You Might Also Like

ENERGY AND NEO-COLONIALISM IN AFRICA, NO ANSWERS?

WAHITIMU WATAKAO JIUNGA DARASA LA KWANZA MWAKA 2023

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIUCHUMI

SIKU YA WATOTO WALIOZALIWA KABLA YA KUKOMAA

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIELIMU

Tanzania Kids Time September 30, 2019
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article Kukamilika kituo cha afya zaidi ya mwaka mmoja sasa na bado hakuna wahudumu hakina msaada wowote hatakama kimejengwa hapa,Maana wakezetu wanaendelea kujifungulia vichakani,wakiwa njiani kufuata hudumahiyo.Ni Wilaya ya Geita Vijijini iliopo mkoani wa Geita.
Next Article Mwalimu Mkuu washule shule ya msingi Ikunguigazi iliopo Wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita ndg.Christopher Mwita Mungasi,Ame walalamikia Wazazi kutokuwa na tabia ya kwenda shuleni Mara kwa Mara ilikufuatilia maendeleo ya watoto wao.
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?