By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: Mwalimu Mkuu washule shule ya msingi Ikunguigazi iliopo Wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita ndg.Christopher Mwita Mungasi,Ame walalamikia Wazazi kutokuwa na tabia ya kwenda shuleni Mara kwa Mara ilikufuatilia maendeleo ya watoto wao.
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Uncategorized > Mwalimu Mkuu washule shule ya msingi Ikunguigazi iliopo Wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita ndg.Christopher Mwita Mungasi,Ame walalamikia Wazazi kutokuwa na tabia ya kwenda shuleni Mara kwa Mara ilikufuatilia maendeleo ya watoto wao.
Uncategorized

Mwalimu Mkuu washule shule ya msingi Ikunguigazi iliopo Wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita ndg.Christopher Mwita Mungasi,Ame walalamikia Wazazi kutokuwa na tabia ya kwenda shuleni Mara kwa Mara ilikufuatilia maendeleo ya watoto wao.

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/04 at 8:17 AM
By Tanzania Kids Time 2 Min Read
Share
SHARE

Mwalimu  Mkuu washule shule ya msingi Ikunguigazi
iliopo Wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita ndg.Christopher Mwita Mungasi,Ame
walalamikia Wazazi kutokuwa na tabia ya kwenda shuleni  Mara kwa Mara ilikufuatilia maendeleo ya watoto
wao jambo linalinalo sababisha utoro sugu kwa baadhi ya wanafunzi washule hiyo.

  Aidha Mungasi
Ameendelea kusema kuwa utoro katikashule yake umechangiwa kwa kiasi kikubwa kutokana
nawazazi hao kuto baini umuhimu wa  elimu
na wengine bado wana amini mtoto wakike elimukwake sikituchakutilia maanani wakati
imani hizo zimekuwa zikipigwa marufuku na serikali kwa kushirikiana na
mashirika yasio kua yakiserikali hapa nchini.Ambapo umoja wa Mataifa ukiwataka
nchi wanachama kutimiza malengo ya maendeleo ya kudumu ya umoja wa Mataifa
hususani lengo namba nne(4) linalo sisitiza Elimu bora kwa kila mtu yaani SDGs.
  
 Hata hivyo kwaupande
wa wanafunzi Ester Alex na Eliasi  Petro
katikashule hiyo wamekiri kuwa baadhi ya wazaziwao hawashirikiani na waalimukufatilia
maendeleoyao,mbalinakuwakagua na kuwa uliza ulikwenda shule basi,ingawa
nijukumu la mwanafunzi kuhudhulia masomo kila siku za shule wengine wanatakiwa
kusimamiwa na kufuatiliwa ndio wanaweza kufanya vizuri katika masomo yao.
  
  Huku baadhi ya
wazazi Michael Matiasi na Angelina Silvan walio na watoto katika shule
hiyo wakashauri wazazi wenzao kuongeza bidii a kufika kwenye mikutano ya shule
ambayo huandaliwa na uongozi wa shule ilikuzungumzia maendeleo ya watoto wao na
maendeleo ya shule kwa ujumla, kwahatua nyingine wamesema kwasasa dunia
inamlazimisha kila mtu kutumia mabadiliko ya tekinolojia za kisasa hivyo mtoto
kama hatajua kusoma hataweza kutumia mabadiliko hayo afikapo utu uzima.
                              Na
nickoraus Paul lyankando Mbogwe Geita.

You Might Also Like

ENERGY AND NEO-COLONIALISM IN AFRICA, NO ANSWERS?

WAHITIMU WATAKAO JIUNGA DARASA LA KWANZA MWAKA 2023

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIUCHUMI

SIKU YA WATOTO WALIOZALIWA KABLA YA KUKOMAA

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIELIMU

Tanzania Kids Time October 3, 2019
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article Sina fuvu kisogoni kwangu isipokua Ngozi na nywere tu,Maji maji ndio yalio jaa kisogoni, naomba msaada wa kifedha kwa wa Tanzania iliniendelee kupata matibabu nipone niendele na masomo.
Next Article Chanzo cha mkuu wa mkoa wa mbeya kuwachapa wanafunzi mbele ya wenzao na walimu wao ni hiki.
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?