By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: Hasira kwa mama anae nyonyesha husababisha maziwa yasitoke.
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Uncategorized > Hasira kwa mama anae nyonyesha husababisha maziwa yasitoke.
Uncategorized

Hasira kwa mama anae nyonyesha husababisha maziwa yasitoke.

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/04 at 8:17 AM
By Tanzania Kids Time 1 Min Read
Share
SHARE

Hapa hospitali hakika wana jitahidi kutoa huduma kwa Mama na mtoto maana kabla hujajifungua unakuwa unapewa elimu ya namna ya kulea mtoto ikiwemo umuhimu wa kumnyonyesha mtoto kwa kipindi kinachotakiwa.

 “Baada ya kujifungua tumewekwa kwenye darasa wanawake wote tuliojifungua tunafundishwa vyakula vinavyo takiwa kutumia wakati huu na ikiwemo na kuepuka hasira,kwani hasira husababisha kukosa maziwa ya kutosha wakati wakumnyonyesha mtoto” 
Hayo ni maneno ya Christina Joseph mzazi alie jifungua katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa morogoro, wakati TKT/UN RADIO ilipo watembelea hosipitalini hapo kutaka kufahamu wanavyo elewa na kuzingatia wiki ya unyonyeshaji ambayo huazimishwa kila ifikapo 01-7, August ya kila mwaka.
 Aidha Dr. Deborah Loganuza yeye ni Daktari mkuu wa kitengo cha Mama na mtoto hospitali ya rufaa ya mkoa wa Morogoro, amesema kilasiku wakina mama wanapo jifungua hupewa darasa jinsi ya kulea na umuhimu wa kuwanyonyesha watoto wao miezi sita ya mwanzo bilakuwalisha kitu au kuwanywesha chochote zaidi ya maziwa ya Mama.
Kaulimbiu mwaka huu inasema,”Tuwawezeshe wanawake kunyonyesha watoto kwa afya bora na ulinzi wa mazingira”

You Might Also Like

ENERGY AND NEO-COLONIALISM IN AFRICA, NO ANSWERS?

WAHITIMU WATAKAO JIUNGA DARASA LA KWANZA MWAKA 2023

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIUCHUMI

SIKU YA WATOTO WALIOZALIWA KABLA YA KUKOMAA

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIELIMU

Tanzania Kids Time August 1, 2020
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article Mama ukizingatia unyonyeshaji utaepukana na saratani ya matiti.
Next Article Jamii msaidieni majukumu mama anayenyonyesha kuepusha utapiamlo kwa mtoto.
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?