By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: Watoto wetu wakifikisha mwezi mmoja tunawanywesha maziwa ya ng’ombe azoee.
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Uncategorized > Watoto wetu wakifikisha mwezi mmoja tunawanywesha maziwa ya ng’ombe azoee.
Uncategorized

Watoto wetu wakifikisha mwezi mmoja tunawanywesha maziwa ya ng’ombe azoee.

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/04 at 8:17 AM
By Tanzania Kids Time 2 Min Read
Share
SHARE

“Tuwawezeshe wanawake kunyonyesha watoto  kwa afya bora na ulinzi wa mazingira”

Hiyo ndio kaulimbiu ya mwaka huu katika wiki ya unyonyeshaji duniani ambapo hali inaonyesha kupiga hatua katika maeneo mengi nchini kwenye swala la unyonyeshaji maziwa ya Mama kwa zaidi ya asilimia tisini na tano 95 watoto wanao nyonyeshwa kwa mjibu wa takwimu za mwaka huu.
Nimezungumza na wanawake jamii ya kimasaai wanao Fanya biashara ya maziwa kutoka Dakawa Wilayani Mvomero,kuhusu wiki hii ya unyonyeshaji,wamesema kwa shalti la kutotaja majina yao harisi, 
Royso Motonyi ameanza kwa kueleza”Sisi watoto wetu wakifikisha mwezi mmoja tu baada ya kuzaliwa tunaanza kuwanywesha maziwa ili wazoee, na kumlisha chakula kama uji na ugari ni baada ya miezi mitatu (3)-miezi minne(4)  hatungoji hadi afikishe miezi sita(6) hasa tukiwa nje ya maeneo ya mjini yaani polini”
Bi, Motonyi amesema kwasasa jamii za kifugaji zinaendelea kuelimika kutokana na familia nyingi zina watoto walio soma na kuwa madaktari,walimu,bwana mifugo ,wauguzi nk, hivyo wana saidia kuelimisha familia zao kwa kushirikiana na serikali na wadau wa maendeleo vijijini.
Hata hivyo bi, Motonyi akatoa wito kwa serikali amesema “maadhimisho kama haya yanapaswa kufanyikia vijijini kwa jamii za kifugaji ili tuelimishwe vya kutosha kama vile muda wa kumnyonyesha mtoto maziwa ya mama kabla ya kumnywesha maziwa ya ng’ombe na chakula kingine“

You Might Also Like

ENERGY AND NEO-COLONIALISM IN AFRICA, NO ANSWERS?

WAHITIMU WATAKAO JIUNGA DARASA LA KWANZA MWAKA 2023

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIUCHUMI

SIKU YA WATOTO WALIOZALIWA KABLA YA KUKOMAA

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIELIMU

Tanzania Kids Time August 2, 2020
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article Asilimia 97 ya watoto chini ya miaka miwili wananyonyeshwa maziwa ya mama
Next Article Nchi 187 duniani sasa za peperusha bendera ya kupinga ajira za utotoni.
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?