By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: Yaliyo tazamiwa kutekelezwa tangu kuanzishwa kwa ILO 1919.
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Uncategorized > Yaliyo tazamiwa kutekelezwa tangu kuanzishwa kwa ILO 1919.
Uncategorized

Yaliyo tazamiwa kutekelezwa tangu kuanzishwa kwa ILO 1919.

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/04 at 8:17 AM
By Tanzania Kids Time 2 Min Read
Share
SHARE
Tangu kuanzishwa kwa ILO mnamo1919,kupinga ajira za utotoni limekuwa jambo la msingi kwa shirika hilo.Mkurugenzi wa kwanza wa ILO Albert Thomas alielezea ajira za utoto kwamba niza Unyonyaji kwa binadamu ambao husababisha ubaya na simanzi mioyoni mwao.
Matukio ya utumikishaji wa watoto  na matukio mengine yalipunguwa karibu asilimia 40 kati ya mwaka 2000 na 2016,kama viwango kama viwango vya kuridhia na utekelezaji wa mkataba no.182 na mkataba no.138 kiwango kiliongezeka kwa nchi zilizo pitisha sheria na sera madhubuti kuhusu haki zinazo mlinda mtoto dhidi ya ajira za utotoni.
Aidha ripoti hiyo inasema pamoja na janga la Covid-19,kunahatari halisi kwamba mikakati ya maendeleo itabadilishwa na kusababisha ongezeko la ajira za utotoni kwa mara ya kwanza katika miaka 20 ingawa ripoti hiyo inazitaka nchi wanachama zichukue hatua zinazo faa dhidi ya utumikishwaji wa watoto.
Kukomesha ajira za utotoni ifikapo 2025 katika njia zote zilizo pendekezwa,nimoja ya njia zinazo ungamkono Lengo la 7.7 la Malengo  ya Maendeleo Endelevu, yalio pitishwa na Mataifa yote ya jumuiya ya Umoja wa Mataifa mnamo mwaka 2015.
Hata hivyo utafiti huo muhimu umekuja baada ya miezi michache kabla ya kuanza kwa mwaka wa kimataifa wa kutokomeza ajira za utotoni 2021,mpango huu unasimamiwa na ILO kwa kushirikiana na washirika,na kusudi lake kubwa ni kuongeza uelewa kwa jamii kuhusu vitendo vya utumikishwaji wa watoto ilikuhalakisha maendeleo. 

You Might Also Like

ENERGY AND NEO-COLONIALISM IN AFRICA, NO ANSWERS?

WAHITIMU WATAKAO JIUNGA DARASA LA KWANZA MWAKA 2023

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIUCHUMI

SIKU YA WATOTO WALIOZALIWA KABLA YA KUKOMAA

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIELIMU

Tanzania Kids Time August 5, 2020
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article Nchi 187 duniani sasa za peperusha bendera ya kupinga ajira za utotoni.
Next Article Save the children wa wezesha semina ya wandishi wa habari mkoa wa morogoro.
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?