By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: Wadau mkoa wa morogoro wakutana kujadili ulinzi wa mama na mtoto.
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Uncategorized > Wadau mkoa wa morogoro wakutana kujadili ulinzi wa mama na mtoto.
Uncategorized

Wadau mkoa wa morogoro wakutana kujadili ulinzi wa mama na mtoto.

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/04 at 8:17 AM
By Tanzania Kids Time 3 Min Read
Share
SHARE


“Wamiliki wa vituo vya kulelea watoto nilazima visajiriwe msiendeshe vituo hivyo bila kusajili”   Hayo yamejiri katika kikao kilichofanyika Ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro na kujumuisha Maafisa wa Ustawi wa Jamii, Mhandisi kalobelo amesema Tanzania inapojipanga kuelekea uchumi wa juu umuhimu wa Maafisa hao unazidi kutambulika na kwamba maafisa hao hawawezi kujiondoa kama sehemu ya kuipeleka nchi katika ustawi wa juu zaidi.

Kwaupande wao baadhi ya wadau wa masuala ya watoto amesema“Tunaona kweli watoto hawa ndani ya miayo yao wanaumia ”Hayo nimaneno ya Christina Wirner , mdau wa haki za watoto kutoka kituo cha kulelea watoto cha Agape kilichoko Kihonda mkoani Morogoro akieleza kuwa kutochukuliwa hatua kwa wale wanaonyanyasa watoto kunafanya matendo haya kushamiri katika jamii kiasi cha kuwafanya hata watoto wenyewe wageuke kuwa watu katili watakapokuwa wakubwa,“Tunahitaji kuwasaidia hawa watoto na pia naomba kwa serikali itusaidie” Amesema.

Aidha bi,Jesca Kagunila afisa ustawi wa jamii ngazi ya mkoa amesema kutokana namatukio yanayo jitokeza kwenye jamii , wadau wa masuala ya usalama wa mama na mtoto kamavile USAID Kizazi kipya mkoa wa Morogoro tayari wameunda kamati za kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto.

Hata hivyo bi,Kagunila akatoa taarifa ya matukio ya mama na mtoto mkoa wa morogoro kuanzia mwezi Januari hadi Juni mwaka huu jumla ya matukio 2848 ya ukatili yariripotiwa, kati yake matukio 1561 walifanyiwa watu wazima na matukio ya ukatili 1287 walifanyiwa watoto.

Katika matukio yote hayo ukatili wa kihisia umeonekana kuongoza kwa kuripotiwa matukio 1287 na kufuatiwa na ukatili wa kimwili matukio 699, ukatili wa kiuchumi matukio 551 na ukatili wa kingono matukio 111 huku Halmashauri ya Mji wa Ifakara ikiongoza kwa kuripoti matukio ya ukatili 1873,Katika matukio hayo yote matukio 157 ndio yalio fanyiawa kazi na matukio 19 tu, ndio yalio tolewa hukumu.


Akifunga kikao hicho kwa niaba ya Katibu Tawala wa Mkoa, ambaye baada ya kufungua alipata dharura, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Ukio Kusirye ametaka kuimarisha ushirikiano kwa wadau wanaofanya kazi za kuhudumia watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi na kuagiza ngazi za Wilaya nao kuitisha vikao kama hivyo.

Sophia Ngasso ni mkuu wa kitengo cha dawati la jinsia  polisi mkoa wa Morogoro amesema juhudi zote hizo zinazochukuliwa ni za muhimu, lakini muhimu zaidi ni ushiriki wa jamii hususani wazazi katika malezi na ulinzi wa mtoto. 


You Might Also Like

ENERGY AND NEO-COLONIALISM IN AFRICA, NO ANSWERS?

WAHITIMU WATAKAO JIUNGA DARASA LA KWANZA MWAKA 2023

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIUCHUMI

SIKU YA WATOTO WALIOZALIWA KABLA YA KUKOMAA

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIELIMU

Tanzania Kids Time September 4, 2020
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article Balozi namba moja wa lishe endekevu wilaya ya mvomero ni mkuu wa wilaya mh.Albinus Mugonya
Next Article Kambi ya kurejesha tabasam kwa watoto wenye midomo sungura imeanza tena.
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?