By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: Kambi ya kurejesha tabasam kwa watoto wenye midomo sungura imeanza tena.
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Uncategorized > Kambi ya kurejesha tabasam kwa watoto wenye midomo sungura imeanza tena.
Uncategorized

Kambi ya kurejesha tabasam kwa watoto wenye midomo sungura imeanza tena.

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/04 at 8:17 AM
By Tanzania Kids Time 2 Min Read
Share
SHARE

 

Jopo la madaktari bingwa kutoka katika tasisi isio ya kiserikali ya Same Qualities Foundation yenye makao makuu yake jijini Arusha kwa kushirikiana na serikali imeanza kutoa huduma zake za upasuaji kwa watoto wenye midomo sungura baada ya kuwa wamesitisha huduma hiyo kwa sababu ya virusi vya corona vilivyo ikumba dunia.

Huduma hiyo ilianza kufanyika mwezi June na August mwaka huu baada ya Corona katika mikoa ya Shinyanga na Kilimanjaro,upasuaji huo hufanyika bure kila kambi,na katika mkoa wa Shinyanga ulifanyika kwenye Hospitali ya Wilaya ya Kahama mkoani humo ambapo watoto 11 walifanikiwa kufanyiwa upasuaji.

Aidha mkurugenzi mtendaji wa tasisi hiyo Dr.Peter Mabula amesema kambi nyingine ya upasuaji ilio fanyika katika hospitali ya TPC Moshi  mkoa wa Kilimanjaro mnamo mwezi Juni na Agosti mwaka huu, na watoto 20 walifanyiwa upasuaji.

Hata hivyo Dr.Mabula akatanabaish baada ya kufanya kambi ya upasuaji katika mikoa ya Shinyanga na Kilimanjaro kambi kama hiyo ikahamia mji mkuu wa Tanzania, Dodoma,ambapo huduma hiyo ilifanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma kuanzia Agosti 23-28 na watoto 21 walifanikiwa kufanyiwa upasuaji kutoka kote nchini.

Na watoto wawili kati yao ingawa walifanyiwa upasuaji kwa mafanikio, ilibidi wabaki hospitalini kwa huduma ya lishe kwa sababu walikuwa na utapiamlo.

You Might Also Like

ENERGY AND NEO-COLONIALISM IN AFRICA, NO ANSWERS?

WAHITIMU WATAKAO JIUNGA DARASA LA KWANZA MWAKA 2023

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIUCHUMI

SIKU YA WATOTO WALIOZALIWA KABLA YA KUKOMAA

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIELIMU

Tanzania Kids Time September 6, 2020
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article Wadau mkoa wa morogoro wakutana kujadili ulinzi wa mama na mtoto.
Next Article Matukio ya vifo vya watoto mkoani njombe
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?