By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: Kumbuka uliko toka,msemo huu unathibitishwa na taasisi ya MOSESCO katika sekondari ya Morogoro
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Uncategorized > Kumbuka uliko toka,msemo huu unathibitishwa na taasisi ya MOSESCO katika sekondari ya Morogoro
Uncategorized

Kumbuka uliko toka,msemo huu unathibitishwa na taasisi ya MOSESCO katika sekondari ya Morogoro

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/29 at 2:31 PM
By Tanzania Kids Time 1 Min Read
Share
SHARE

Wadau wa Elimu na waombwa kuendelea kuwasaidiwa wanafunzi wenye uhitaji maalumu mashuleni.

Hayo yamesemwa na Katibu tawala Wilaya ya KILOSA, YOHANA KASITILA katika zoezi la kuwapatia mahitaji wanafunzi wenye uhitaji maalumu katika Shule ya Sekondari ya Morogoro. 

Miongoni mwa walioambatana na Katibu tawala huyo ni mwenyekiti wa kikundi cha MOSESCO ambacho ni muunganiko wa wanafunzi waliosoma mwaka wa 1989 mpaka 1992, ATHUMANI KAKIMA na CHERI IKANGA walisema jambo hilo kwao ni muendelezo na kwamba huo ni mwanzo wa kuonesha mfano kwa wengine.

JOSEPHU KAPYUNKA, ambaye ni makamu mkuu wa Shule ya Sekondari Morogoro alisema mahitaji ya wanafunzi wenye uhitaji ni mkubwa katika Shule hiyo kutokana na kuwa na Idadi ya Zaidi ya wanafuzi mia moja walio katika mazingira magumu Zaidi.

JOSHUA JUMA NA ROZA MKUMBWA ni wanafunzi wenye uhitaji maalumu Kidato cha tano wakiwa ni miongoni mwa waliopokea zawadi walisema kufurahishwa kwa kupatiwa mahitaji ya kusomea na kuwaomba wadau wengine wa Elimu kujitokeza.

Umoja wa wanafuzi waliosoma Shule ya Sekondari Morogoro kuanzia mwaka wa 1989 1992 MOSESCO waliwapatia mahitaji mabalimbali wanafunzi ikiwemo Madaftari, Kalamu za wino na Penseli, Soksi, Taulo za kike, Rula, Vifutio, Kanga na Vitenge.

Na mwandishi Hamad Rashid.

You Might Also Like

ENERGY AND NEO-COLONIALISM IN AFRICA, NO ANSWERS?

WAHITIMU WATAKAO JIUNGA DARASA LA KWANZA MWAKA 2023

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIUCHUMI

SIKU YA WATOTO WALIOZALIWA KABLA YA KUKOMAA

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIELIMU

Tanzania Kids Time October 7, 2020
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article Lishe inavyotibu utapiamlo kwa watoto
Next Article Wasichana waelezea machungu mbele ya mkuu wa mkoa wa morogoro
1 Comment
  • Unknown says:
    October 7, 2020 at 8:18 pm

    Kwa kweli ni Jambo jema lakini yote tunamshkuru mwenyezi mungu kwa kutuwezesha kufanya hivi

    Reply

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?