By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: Wasichana waelezea machungu mbele ya mkuu wa mkoa wa morogoro
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Uncategorized > Wasichana waelezea machungu mbele ya mkuu wa mkoa wa morogoro
Uncategorized

Wasichana waelezea machungu mbele ya mkuu wa mkoa wa morogoro

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/29 at 2:31 PM
By Tanzania Kids Time 3 Min Read
Share
SHARE

 

Shirika la CAMFED nchini Tanzania ni moja ya mashirika yanayopambana kuhakikisha yanachangia katika kutimiza malengo ya maendeleo endelevu SDGs ambayo yamepangiwa kuwa yametimizwa yote 17.

 Lengo namba 4 linazungumzia elimu bora na lengo namba 5 linazungumzia usawa wa kijinsia, yote hayo yakiwa yanalenga kutomwacha nyuma mtu yeyote katika maendeleo ya ulimwengu ifikapo mwaka 2030. 

Mapema mwezi huu shirika hilo lili andaa  hafla ya kutambua mchango wa wasichana na wanawake waliopitia katika mikono na mafunzo ya CAMFED miaka mitano iliyopita kupitia mpango wa Dunia yangu bora na sasa wanawake hao wanawasaidia wasichana wengine walioko katika mazingira magumu.

Hafla hiyo ili fanyika katika ukumbi wa mikutano Shule ya sekondari KILAKALA Manispaa ya Morogoro, ambapo jumla ya wawezeshaji elimu ya utambuzi kwa wasichana na  wanawake 70 wakitunukiwa vyeti vya kutambua mchango wao kutoka shirikia la CAMFED linalosaidia mpango wa Elimu na uongozi kwao.

Mkurugenzi wa Shirika la CAMFED TANZANIA, LYIDIA WILBARD alisema wana namba kubwa katika  kuwasaidia wasichana wanao toka katika mazingira magumu kiuchumi,malezi na hata kielimu, ambapo tangu mwaka 2005 hadi sasa jumla ya wasichana Laki sita themanini na tatu elfu mia nne therathini na tisa wamesaidiwa na shirika hilo, katika Shule 455.

Muwakilishi wa Serikali kutokaTAMISEMI ambae ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Roata Sanare aliwapongeza CAMFED na kuahidi kuwaunga mkono katika majukumu yao kwa ushirikiano mkubwa utakaotolewa na Serikali ya Tanzania.

Wanufaika wa mradi wa Dunia yangu bora mpango unaoratibiwa na CAMFED walikili kufaidika na Shirika la CAMFED, STUMAI KAGUNA alisema kwa upande wake amenufaika na Elimu ya kifikra pamoja na uchumi wake kwa ujumla ambapo anamiliki nyumba pamoja na miradi miwili ya Biashara ndogondogo wakati, aidha akawa asa wasichana wengine “Msikate tamaa,kwani kutoka kwenye familia masikini sio ndio mwisho wa mafanikio yako”.

Kwaupande wa MARIA KAMANDE  alisema anamengi ya kujivunia kutoka CAMFED kama vile kuuona uthamani wake kwenye jamii na anazo nyumba mbili na kiwanja lakini pia anatunza na kuihudumia familia yake pamoja na watoto wa ndugu zake wawili,ikiwemo kuwasaidia kielimu,afya na mazibgira,hata hivyo “ukisaidiwa kumbuka kusaidia” alisema.

Bi,Wilbard akarejerea tuzo ya YIDAN walio tunukiwa mwishoni mwa mwezi September,mwaka huu,akasema tuzo hiyo niutambulisho mkubwa wa shirika la Camfed duniani kote kuhusu kazi zinazo fanywa na shirika hilo,kuhusu kumsaidia msichana anae toka kwenye mazingira magumu.

Shirika la CAMFED linahudumia vijana wa kike katika Nchi tano Barani Africa na kwamba malengo yake ni kuwafikia wasichana  milioni tano ifikapo mwaka wa 2025,ilikuwasaidia kufikia ndoto zao kielimu,na kiuongozi.

You Might Also Like

ENERGY AND NEO-COLONIALISM IN AFRICA, NO ANSWERS?

WAHITIMU WATAKAO JIUNGA DARASA LA KWANZA MWAKA 2023

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIUCHUMI

SIKU YA WATOTO WALIOZALIWA KABLA YA KUKOMAA

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIELIMU

Tanzania Kids Time October 8, 2020
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article Kumbuka uliko toka,msemo huu unathibitishwa na taasisi ya MOSESCO katika sekondari ya Morogoro
Next Article Watoto wanaelewa nini kuhusu mabaraza yao?
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?