By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: HOME START YATOA MAFUNZO KWA WAHUDUMU NGAZI JAMII MOROGORO.
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Uncategorized > HOME START YATOA MAFUNZO KWA WAHUDUMU NGAZI JAMII MOROGORO.
Uncategorized

HOME START YATOA MAFUNZO KWA WAHUDUMU NGAZI JAMII MOROGORO.

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/29 at 2:31 PM
By Tanzania Kids Time 3 Min Read
Share
SHARE

 

Asasi ya kujitolea ya Home Start inayofanya kazi ya kutoa
huduma kwa Familia Changa zenye changamoto za malezi ya watoto ambao
hawajafikia Umri wa kusoma, imetoa mafunzo kwa wahudumu 12 ngazi ya jamii
Manispaa ya Morogoro tayari kuanza kazi ili kutengeneza usawa wa Maisha na
malezi Bora ngazi ya Familia.

Wahudumu hao wa familia waliopewa mafunzo katika ukumbi wa
Kilimo Manispaa ya Morogoro, watafanya kazi ya kusimamia Famili mbili kwa kila
mmoja ndani ya Mwaka mzima huku wakizitolea taarifa kwa mratibu wa Asasi, ambaye ataziwasilisha taarifa hizo kwenye Ofisi ya Maendeleo ya Jamii Manispaa ya Morogoro.

Akizindua Mafunzo hayo, Mkurugenzi Mtendaji wa Home Start
Tanzania Bi, ANNA TEMBA pamoja na mambo mengine pia ameiomba Serikali pamoja na
wadau kutoa ushirikiano kwa wahudumu walio pewa mafunzo ili kuzisaidia Familia
zenye changamoto ya Malezi.

 ‘’Hawa wahudumu
tuliowapatia mafunzo tunaamini wataenda kuleta mabadiliko kwenye ngazi za
familia, mimi kama Mkurugenzi wa Home Start naiomba Serikali na wadau kuweza
kuwapa ushirikiano ili kuifanikisha vema kazi ya kusaidia Familia’’ alisema
Anna Temba

VIPAUMBELE.

‘’kwa kweli kipaumbele kikubwa kwa Home Start tulichonacho ni Mtoto kwanza, tunatamani kuona kila
mhudumu kujua haki zote za mtoto na kuhakikisha jamii inazifahamu na kumlinda
Mtoto ipasavyo’’Anna.

LENGO LA ASASI.

Kaimu mratibu wa Home start Manispaa ya Morogoro, Delfina Thomas Pacho alisema ‘’Asasi yetu ya Home Start inafanya kazi kwenye jamii kuziepusha
Familia kusambaratika kutumia wahudumu walezi ambao wana uzoefu wa malezi ya
Familia na waliopokea mafunzo maalumu ya namna ya kuzisaidia familia zenye
changamoto ya malezi’’

Aidha Asasi hiyo ilianza Mwaka 2009 Nchini Tanzania hadi sasa imezisaidia Kaya zaidi ya 520 katika kuboresha malezi sahii ya
watoto na kutatua Migogoro ya Familia.

Miongoni mwa waliopokea mafunzo ni Sineno Faida na Anna William
walizungumza kwa niamba ya wenzao‘’katika mafunzo yetu ya leo nimejifundisha
katika Familia suala zima la malezi anatakiwa ahusike Baba na Mama kwahiyo wote
wawili wanatakiwa waisikie changamoto ya Mtoto na wampee nafasi ya kumsikiliza
na kuitatua changamoto ya Mtoto wao‘’ Sineno
Faida.

Na, Anna William akasema
‘’ yani mimi katika mafunzo ya leo nilichojifunza ni namna ya kuisaidia Jamii
katika kutatua migogoro na kutumia fursa zilizopo katika Jamii’’

Hata hivyo miongoni mwa mada zilizofundishwa katika mafunzo
hayo ni pamoja na wahudumu ngazi ya jamii kutambua haki za watoto, wajibu wa
muhudumu anayejitolea kwa Familia pamoja na kufanya tathmini baada ya kuisaidia
Familia.

 

You Might Also Like

ENERGY AND NEO-COLONIALISM IN AFRICA, NO ANSWERS?

WAHITIMU WATAKAO JIUNGA DARASA LA KWANZA MWAKA 2023

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIUCHUMI

SIKU YA WATOTO WALIOZALIWA KABLA YA KUKOMAA

ATHARI ZA NDOA ZA UTOTONI KIELIMU

Tanzania Kids Time June 28, 2021
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article TAKWIMU ZINAONESHA WATOTO TANZANIA NI MASKINI KWA 30.1%
Next Article TAKWIMU: MOROGORO YASHIKA NAFASI YA PILI KITAIFA KWA MIMBA ZA UTOTONI TANZANIA
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?