By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: TAKWIMU: WATOTO WALIOHUDHULIA NA WASIOHUDHULIA MASOMO
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Elimu > TAKWIMU: WATOTO WALIOHUDHULIA NA WASIOHUDHULIA MASOMO
ElimuUchambuzi na Takwimu

TAKWIMU: WATOTO WALIOHUDHULIA NA WASIOHUDHULIA MASOMO

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/29 at 2:31 PM
By Tanzania Kids Time 2 Min Read
Share
SHARE

 

                                                                 Picha:dw.

Kwa mujibu
wa ripoti ya takwimu za utumikishwaji watoto ya mwaka 2014 iliotolewa na Ofisi
kuu ya Taifa ya Takwimu – nbs, jumla ya watoto kuanzia miaka 5-17 walikuwa
14,666,463 kati yao watoto 2,519,260
hawakwenda shule kabisa, wanaume wakiwa 1,318,000
na wanawake ni 1,201,260.

Aidha kundi
la watoto lililo ongoza kutoenda shule kabisa ni kuanzia miaka 5-11, jumla yao wakiwa watoto 2,125,923 wakiume wakiwa 1,093,287 na wakike wakiwa 1,032,636.

Jumla ya
watoto 10,233,365 walio na umri wa   miaka 5 – 17 walihudhulia masomo Shuleni ilhali
watoto 4,433,098 hawakuhudhuliwa masomo katika kipindi cha Mwaka 2014.

WALIOHUDHULIA
SHULE

UMRI

WATOTO WA KIUME

WATOTO WA KIKE

JUMLA

5–17

5,205,256

5,028,109

10,233,365

5-11

3,242,471

3,174,382

6,416,852

12-13

993,047

919,727

1,912,775

14-17

969,738

934,000

1,903,737.

ASILIMIA KWA WALIOHUDHULIA

5–17

50.9%

49.1%

100.0%

5-11

31.7%

31.0%

62.7%

12-13

9.7%

9.0%

18.7%

14-17

9.5 %

9.1%

18.6%

WASIOHUDHULIA SHULE

5–17

2,348,190

2,084,908

4,433,098

5-11

1,216,775

1,107,869

2,324,644

12-13

226,889

178,907

405,795

14-17

904,526

798,133

1,702,659

 

Takwimu hizi ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na ofisi
kuu ya Taifa ya Takwimu – NBS, kwa kushirikiana na serikali pamoja na shirika
la kazi duniani ofisi ya tanzania- ILO.

Wandishi wa habari na wachambuzi wa takwimu
hizi ni:-

John
Kabambala [email protected]

Hamad Rashi [email protected]

You Might Also Like

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi

Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili

Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania

KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.

UWEZO TANZANIA YARATIBU KIKAO CHA MIKAKATI YA KUWASHIRIKISHA WAZAZI UELIMISHAJI VIJANA STADI ZA MAISHA.

Tanzania Kids Time July 30, 2021
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article TAKWIMU: WATOTO 4,713,794 WALIFANYISHWA KAZI BILA MALIPO NCHINI.
Next Article TAKWIMU: ZAIDI YA BILIONI 10 ZILITENGWA KUNUNUA CHANJO ZA WATOTO NCHINI
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?