By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: TAKWIMU:WALIMU WANAONGOZA KUWAFANYIA UKATILI WA KIMWILI WANAFUNZI SHULENI
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Elimu > TAKWIMU:WALIMU WANAONGOZA KUWAFANYIA UKATILI WA KIMWILI WANAFUNZI SHULENI
ElimuUchambuzi na Takwimu

TAKWIMU:WALIMU WANAONGOZA KUWAFANYIA UKATILI WA KIMWILI WANAFUNZI SHULENI

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/29 at 2:31 PM
By Tanzania Kids Time 6 Min Read
Share
SHARE

Kwa mujibu wa Ripoti
ya utafiti wa Hali ya Ukatili kwa watoto Shuleni Tanzania Bara, ya mwaka 2020
iliyotolewa na Haki Elimu Tanzania Mwezi machi 2021,
Jumla ya wanafunzi 744 sawa na Asilimia
47.2% ya watoto wote wa shule ambao walihojiwa walisema walifanyiwa ukatitili
wa kimwili kutoka kwa walimu wao, Wakati 20% ya wanafunzi wahojiwa walisema ukatili
wa aina hiyo waliupata kutoka kwa wazazi / walezi wao kwa Shule za Msingi na Sekondari
katika
kipindi cha miezi sita
kabla ya utafiti kufanyika
.

Aidha ripoti hiyo inaonesha
wahanga wengi wa ukatili wa kimwili ni wanafunzi wa Shule za Sekondari kwa
waliohojiwa 420
sawa na Asilimia (53.3%) walifanyiwa ukatili huo kutoka kwa
walimu, ikilinganishwa na wanafunzi wa shule za msingi ambao ni 324
sawa na asilimia (41.2%).

Lakini pia ripoti ya utafiti
wa Hali ya Ukatili kwa watoto Shuleni Tanzania Bara imefafanua jumla ya
wanafunzi wa Shule za Msingi 198
sawa na 25.2% walifanyiwa
ukatili wa kimwili kutoa kwa wazazi na walezi wao na kwa upande wa Shule za
Sekondari wanafunzi 117
sawa na 14.8% nao
walifanyiwa ukatili wa aina hiyo kutoka kwa wazazi na walezi wao.

Hata hivyo wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari
waliezea kufanyiwa ukatili wa kimwili kutoka kwa wanafunzi wenzao, marafiki
zao, jamaa wa karibu, wafanyakazi wa Nyumbani na watu wengine.

 

JINSI

ENEO

SHULE YA MSINGI

SHULE YA SEKONDARI

JUMLA

Mjini

Vijijini

Binafisi

Serikali

Jumla

Binafisi

Serikali

Jumla

Binafisi

Serikali

Jumla

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

WALIMU

Wavulana

178 (19.8%)

114 (16.8%)

45 (20.5%)

89 (15.7%)

134 (17.0%)

48 (18.0%)

110 (21.1%)

158 (20.1%)

93 (19.1%)

199 (18.3%)

292 (18.5%)

Wasichana

236 (26.3%)

216 (31.9%)

55 (25.0%)

135 (23.8%)

190 (24.1%)

105 (39.5%)

157 (30.1%)

262 (33.2%)

160 (32.9%)

292 (26.8%)

452 (28.7%)

Jumla

414 (46.1%)

330 (48.7%)

100 (45.5%)

224 (39.5%)

324 (41.2%)

153 (57.5%)

267 (51.1%)

420 (53.3%)

253 (52.1%)

491 (45.1%)

744 (47.2%)

RAFIKI WA
KARIBU

Wavulana

20
(2.2%)

17
(2.5%)

11
(5.0%)

9
(1.6%)

20
(2.5%)

2
(0.8%)

15
(2.9%)

17
(2.2%)

13
(2.7%)

24
(2.2%)

37
(2.3%)

Wasichana

5
(0.6%)

13
(1.9%)

1
(0.5%)

8
(1.4%)

9
(1.1%)

1
(0.4%)

8
(1.5%)

9
(1.1%)

2
(0.4%)

16
(1.5%)

18
(1.1%)

Jumla

25
(2.8%)

30
(4.4%)

12
(5.5%)

17
(3.0%)

29
(3.7%)

3
(1.1%)

23
(4.4%)

26
(3.3%)

15
(3.1%)

40
(3.7%)

55
(3.5%)

WANAFUNZI
WENZAO

Wavulana

36
(4.0%)

44
(6.5%)

6
(2.7%)

26
(4.6%)

32
(4.1%)

14
(5.3%)

34
(6.5%)

48
(6.1%)

20
(4.1%)

60
(5.5%)

80
(5.1%)

Wasichana

41
(4.6%)

35
(5.2%)

9
(4.1%)

29
(5.1%)

38
(4.8%)

11
(4.1%)

27
(5.2%)

38
(4.8%)

20
(4.1%)

56
(5.1%)

76
(4.8%)

Jumla

77
(8.6%)

79
(11.7%)

15
(6.8%)

55
(9.7%)

70
(8.9%)

25
(9.4%)

61
(11.7%)

86
(10.9%)

40
(8.2%)

116
(10.7%)

156
(9.9%)

WALEZI/WAZAZI

Wavulana

75
(8.4%)

52
(7.7%)

16
(7.3%)

65
(11.5%)

81
(10.3%)

19
(7.1%)

27
(5.2%)

46
(5.8%)

35
(7.2%)

92
(8.4%)

127
(8.1%)

Wasichana

114
(12.7%)

74
(10.9%)

32
(14.5%)

85
(15.0%)

117
(14.9%)

29
(10.9%)

42
(8.0%)

71
(9.0%)

61
(12.6%)

127
(11.7%)

188
(11.9%)

Jumla

189
(21.0%)

126
(18.6%)

48
(21.8%)

150
(26.5%)

198
(25.2%)

48
(18.0%)

69
(13.2%)

117
(14.8%)

96
(19.8%)

219
(20.1%)

315
(20.0%)

JAMAA WA KARIBU

Wavulana

26
(2.9%)

29
(4.3%)

8
(3.6%)

25
(4.4%)

33
(4.2%)

5
(1.9%)

17
(3.3%)

22
(2.8%)

13
(2.7%)

42
(3.9%)

55
(3.5%)

Wasichana

47
(5.2%)

26
(3.8%)

9
(4.1%)

34
(6.0%)

43
(5.5%)

8
(3.0%)

22
(4.2%)

30
(3.8%)

17
(3.5%)

56
(5.1%)

73
(4.6%)

Jumla

73
(8.1%)

55
(8.1%)

17
(7.7%)

59
(10.4%)

76
(9.7%)

13
(4.9%)

39
(7.5%)

52
(6.6%)

30
(6.2%)

98
(9.0%)

128
(8.1%)

WAFANYAKAZI WA NYUMBANI

Wavulana

5
(0.6%)

1
(0.1%)

0
(0.0%)

2
(0.4%)

2
(0.3%)

2
(0.8%)

2
(0.4%)

4
(0.5%)

2
(0.4%)

4
(0.4%)

6
(0.4%)

Wasichana

11
(1.2%)

4
(0.6%)

6
(2.7%)

2
(0.4%)

8
(1.0%)

1
(0.4%)

6
(1.1%)

7
(0.9%)

7
(1.4%)

8
(0.7%)

15
(1.0%)

Jumla

16
(1.8%)

5
(0.7%)

6
(2.7%)

4
(0.7%)

10
(1.3%)

3
(1.1%)

8
(1.5%)

11
(1.4%)

9
(1.9%)

12
(1.1%)

21
(1.3%)

WENGINE

Wavulana

62
(6.9%)

35
(5.2%)

14
(6.4%)

39
(6.9%)

53
(6.7%)

11
(4.1%)

33
(6.3%)

44
(5.6%)

25
(5.1%)

72
(6.6%)

97
(6.2%)

Wasichana

42
(4.7%)

17
(2.5%)

8
(3.6%)

19
(3.4%)

27
(3.4%)

10
(3.8%)

22
(4.2%)

32
(4.1%)

18
(3.7%)

41
(3.8%)

59
(3.7%)

Jumla

104
(11.6%)

52
(7.7%)

22
(10.0%)

58
(10.2%)

80
(10.2%)

21
(7.9%)

55
(10.5%)

76
(9.6%)

43
(8.8%)

113
(10.4%)

156
(9.9%)

Chanzo: Haki Elimu Tanzania.

Waandisi wa Habari na wachambuzi wa Takwimu
hizi ni : –

John
Kabambala: [email protected]

Hamad
Rashid: [email protected]

You Might Also Like

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi

Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili

Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania

KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.

UWEZO TANZANIA YARATIBU KIKAO CHA MIKAKATI YA KUWASHIRIKISHA WAZAZI UELIMISHAJI VIJANA STADI ZA MAISHA.

Tanzania Kids Time August 9, 2021
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article TAKWIMU: UMRI WA WATOTO WALIO ATHIRIKA ZAIDI KUTUMIKISHWA
Next Article KIPINDI CHA MIMBA ZA UTOTONI
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?