By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: TAKWIMU: ZA UFAULU SOMO LA KISWAHILI KWA SHULE ZA MSINGI.
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Elimu > TAKWIMU: ZA UFAULU SOMO LA KISWAHILI KWA SHULE ZA MSINGI.
ElimuUchambuzi na Takwimu

TAKWIMU: ZA UFAULU SOMO LA KISWAHILI KWA SHULE ZA MSINGI.

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/29 at 2:31 PM
By Tanzania Kids Time 2 Min Read
Share
SHARE

 

Katika muendelezo wa uchambuzi wa
Takwimu mbalimbali hatimaye tumeanza kuangazia Ripoti ya Tathmini ya Kujifunza
kwa wanafunzi wa Shule za Msingi kutoka Shirika la Uwezo Tanzania iliyofanyiwa
utafiti kipindi cha Miaka sita ikikamilika 2017 na kutolewa Mwaka 2019.

 Ripoti hiyo ilihusisha jumla ya
Kaya
276,992 na watoto waliwafanyiwa
utafiti ni
614,733 Katika kipindi
cha miaka sita kuanzia Mwaka
2011, 2012, 2013, 2014, 2015, na 2017.

 Aidha kwa Mwaka 2017 pekee,
utafiti wa Uwezo Tanzania ulizifikia Kaya
25,532
na watoto
64,639 na mwaka ulioongoza
kuwafikia watoto wengi zaidi na Kaya nyingi ni 2015 ambapo jumla ya watoto
197,451 walifikia na Kaya 68,588.

 Tukibaki katika Mwaka 2017 Ripoti
ya utafiti wa kujifunza inaonesha, idadi kubwa ya watoto wa darasa la 3 hadi la
7 bado hawana ujuzi wa msingi wa kusoma na kuhesabu. Na kiwango cha ufaulu wa
somo la
  Kiswahili kwenye majaribio ya
wanafunzi uliongezeka kwa wanafunzi wa Darasa la 6 ambapo ufaulu ulikuwa wa 89%.

 Wastani wa ufaulu kwa Darasa la
Tatu ulikua ni 70% Darasa la nne ni 80% la Tano ni 88% na Darasa la Saba ni 86%
.

 Jedwali hapo chini linaeleza
zaidi kiwango cha ufaulu kwa majaribio ya Somo la Kiswahili.
 

 

MWAKA

 

DARASA

KIWANGO     CHA UFAULU

 

SOMO

 

 

2017

III

70%

KISWAHILI

IV

80%

KISWAHILI

V

88%

KISWAHILI

VI

89%

KISWAHILI

VII

86%

KISWAHILI

Chanzo:
Uwezo Tanzania.

Waandishi
wa Habari na wachambuzi wa Takwimu hizi ni: –
John Kabambala: [email protected]  
Hamad Rashid: [email protected]  

 

You Might Also Like

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi

Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili

Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania

KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.

UWEZO TANZANIA YARATIBU KIKAO CHA MIKAKATI YA KUWASHIRIKISHA WAZAZI UELIMISHAJI VIJANA STADI ZA MAISHA.

Tanzania Kids Time September 6, 2021
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article TAKWIMU ZA RUZUKU ZILIZOTOLEWA SHULE ZA SEKONDARI MKOA WA MTWARA 2019/2020.
Next Article TAKWIMU ZA UWIANO WA UFAULU KATI YA WAVULANA NA WASICHANA SHULE ZA MSINGI
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?