By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: TAKWIMU:IDADI YA WATOTO WANAO ISHI MAZINGIRA MAGUMU
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Uchambuzi na Takwimu > TAKWIMU:IDADI YA WATOTO WANAO ISHI MAZINGIRA MAGUMU
Uchambuzi na TakwimuUmasikini

TAKWIMU:IDADI YA WATOTO WANAO ISHI MAZINGIRA MAGUMU

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/29 at 2:31 PM
By Tanzania Kids Time 1 Min Read
Share
SHARE

                               

Ripoti ya takwimu za elimu ya mwaka 2020 iliotolewa na Ofisi ya Rais tawala za mikoa na serikali za mitaa, inaonesha idadi ya wanafunzi yatima  kwa shule za awali za serikali kwa halmashauri na Mkoa nchini, ambapo jumala ya wanafunzi wa Darasa la Awali walio andikishwa kwa mwaka 2020 ni 1,278,886 kwa Shule zote za Serikali Tanzania bara.

Mkoa wa Mwanza unaongoza kwa kuwa na wanafunzi wengi yatima 95697 wa darasa la awali, ukifuatiwa na Mkoa wa Kagera kwakuandikisha wanafunzi 84261

Aidha Ripoti ya Best 2020, imeutaja Mkoa wa Katavi kuwa na idadi ndogo zaidi kuandikisha  wanafunzi yatima 18619 wa Darasa la Awali.

Kwangazi ya halmashauri inayo ongoza kwa kuandikisha wanafunzi wengi yatima ni halmashauri ya Muleba Mkoani Kagera iliandikisha wanafunzi 18441, ikifuatiwa na halmashauri ya Kwimba Mkoani Mwanza iliandikisha wanafunzi 15069. Na halmashauri ya Mlele Mkoa wa Katavi iliandikisha wanafunzi 1230 ni wachache kuliko halmashauri zote Tanzania Bara.

Chanzo: Kitabu cha hali ya Uchumi wa Taifa katika Mwaka 2020.

Waandishi wa Habari na wachambuzi wa Takwimu hizi ni: –

John Kabambala: [email protected] 

Hamad Rashid: [email protected]

 

 

You Might Also Like

THE AMBASSADOR OF FINLAND IN TANZANIA, CONGRATULATES THE “IKIWA” PROJECT IMPLEMENTED BY SAWA ORGANIZATION

HATA SISI WATU WENYE ULEMAVU TUNAHAKI YA KUPATA ELIMU YA AFYA YA UZAZI

HISTORIA YA VAILETH BUKUKU MKAAZI WA MBEYA MJINI.

WAZAZI NI MUDA SASA WAKUWAFUNDISHA ELIMU YA AFYA YA UZAZI VIJANA BALEHE ILI KUPUNGUZA MAAMBUKIZI YA VVU

HALI ILIVYO JUU YA VITENDO VYA UKATILI DHIDI YA WATOTO WAKIKE MKOA WA MOROGORO.

Tanzania Kids Time November 7, 2021
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article TAKWIMU: DAR ES SALAAM INAONGOZA KUWA NAWANAFUNZI WASIO ONA
Next Article TAKWIMU:WATOTO YATIMA WALIO ANDIKISHWA DARASA LA AWALI
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?