By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: TAKWIMU: RUZUKU INAYOTOLEWA NA SERIKALI KWENDA SHULE ZA MSINGI HAIKUKIDHI MAHITAJI YA ELIMU YA AWALI
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Elimu > TAKWIMU: RUZUKU INAYOTOLEWA NA SERIKALI KWENDA SHULE ZA MSINGI HAIKUKIDHI MAHITAJI YA ELIMU YA AWALI
ElimuUchambuzi na Takwimu

TAKWIMU: RUZUKU INAYOTOLEWA NA SERIKALI KWENDA SHULE ZA MSINGI HAIKUKIDHI MAHITAJI YA ELIMU YA AWALI

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/29 at 2:31 PM
By Tanzania Kids Time 2 Min Read
Share
SHARE

 

Kutoka katika Ripoti ya utafiti juu ya upataji Elimu ya awali kwa watoto wenye ulemavu Tanzania
Bara
, iliyozinduliwa sepemba 14, 2021 na Shirika la Haki Elimu
Tanzania, imebainisha
Utafiti
uliotaka kuelewa ufadhili wa watoto wa shule ya awali wenye ulemavu, mahojiano waliyofanyiwa
na maofisa wa wizara miongoni mwao kutoka -TAMISEMI wamefichua kuwa hakukuwa na
fedha maalum kwa ajili ya shule ya awali kwa watoto wenye ulemavu.

Kwa kuwa elimu ya shule ya awali ni sehemu
ya elimu ya msingi, hivyo hufadhiliwa kupitia ruzuku ya mwanafunzi, ambapo TZS
10,000
hutengwa kwa kila mwanafunzi. Kuhusu suala la kiasi kinachotengwa,  60% hutarajiwa kwenda moja kwa moja shuleni na
40% iliyobaki inatumika kwa vitabu vya kiada.

Matokeo kutoka kwa wakuu wa shule,
walifichua kuwa ruzuku ya mwanafunzi iliyopokelewa haikukidhi elimu ya awali, Kando
na hayo, ruzuku ya mwanafunzi haitegemei usawa, Kwa hivyo hakukuwa na ufadhili maalum
kwa shule ya awali wanafunzi wa shule kutoka serikalini.

Wakuu wa shule waliulizwa zaidi kama kulikuwa na ufadhili
wa kusaidia wanafunzi wa shule za awali wenye ulemavu katika mazingira ya
elimu-jumuishi.

Takriban 72.3% 
wakuu wa shule waliohojiwa walikiri kuwa hawakua na fedha za ziada kusaidia
wanafunzi wenye ulemavu lakini Kati yao wakuu wachache wa shule walioripotiwa
kuwa na ziada ya fedha, vyanzo vya ufadhili vilitokana na michango ya wazazi
(30.4%), ufadhili kutoka kwa wafadhili (56.5%), kujitegemea shuleni (39.1%) na
vyanzo vingine (34.8%).

 Chanzo: 
Haki Elimu

Waandishi
wa Habari na wachambuzi wa Takwimu hizi ni: –

John Kabambala: [email protected] 

Hamad Rashid: [email protected]

 

You Might Also Like

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi

Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili

Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania

KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.

UWEZO TANZANIA YARATIBU KIKAO CHA MIKAKATI YA KUWASHIRIKISHA WAZAZI UELIMISHAJI VIJANA STADI ZA MAISHA.

Tanzania Kids Time November 15, 2021
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article TAKWIMU: KIWANGO CHA USAJILI WA WATOTO WENYE ULEMAVU DARASA LA CHEKECHEA KILISHUKA 2020
Next Article UTAFITI: 72.5% YA SHULE ZIN A VYUMBA VYA MADARASA YA AWALI KWA WATOTO WENYE ULEMAVU
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?