By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: WANAFUNZI WANAORUDI SHULE BAADA YA KUJIFUNGUA WAPEWE ELIMU YA SAIKOLOJIA KWANZA
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Elimu > WANAFUNZI WANAORUDI SHULE BAADA YA KUJIFUNGUA WAPEWE ELIMU YA SAIKOLOJIA KWANZA
ElimuUchambuzi na Takwimu

WANAFUNZI WANAORUDI SHULE BAADA YA KUJIFUNGUA WAPEWE ELIMU YA SAIKOLOJIA KWANZA

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/29 at 2:30 PM
By Tanzania Kids Time 2 Min Read
Share
SHARE

 

                           Herriet Mkaanga Mkurugenzi wa Taasisi ya My Health Foundation.

Kufuatia waraka wa Serikali ulioelekeza wanafunzi wa
kike waliopata ujauzito warejee shule katika mfumo rasmi baada ya kujifungua
wadau wa Elimu nchini wameipongeza Serikali kwa hatua hiyo.

Herriet Mkaanga, mwanaharakati wa watoto wa kike na
Mkurugenzi wa Shirika la My Health Foundation  ambalo limekua likipigania suala hili kwa muda
mrefu, aliishukuru  Serikali kwa hatua
hiyo na kutoa maoni yake kuwa wapatiwe Elimu ya saikolojia kabla ya kurejeshwa
Shule ili wakafanye vizuri zaidi.

Fika Fahari Shop kwa huduma zaidi za malighafi ya mbalimbali ya kutengenezea Bidhaa.

Mkaanga pia alisema juhudi nyingine zinazotakiwa
kuchukuliwa dhidi yao ni kuwezesha mazingira yao ya kujifunzia ili wasiingie
tena katika ushawishi wa kupata ujauzito ikiwemo, kuwasaidia taulo za kike,
vyakula kwa Shule zenye mabweni.

watoto wakiwa kwenye sare kutoka kituo cha kulelea watoto Step up day care center Sabasaba Morogroro. mawasiliano yao: 0756557228.

kwa mujibu wa Takwimu za Elimu ripoti ya Best 2020
inaeleza jumla ya idadi ya wanafunzi wa kike 1,135 sawa na 0.7% walipata
ujauzito katika Shule za Msingi, ilhali shule za Sekondari walikua 5,398 sawa
5.5% mwaka 2019.

Na
John Kabambala.

 

You Might Also Like

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi

Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili

Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania

KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.

UWEZO TANZANIA YARATIBU KIKAO CHA MIKAKATI YA KUWASHIRIKISHA WAZAZI UELIMISHAJI VIJANA STADI ZA MAISHA.

Tanzania Kids Time December 2, 2021
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article WATOTO WA KIKE WASHAURIWA WASIFANYE MAPEZNI MPAKA WAKATI WAO WA NDOA UTAKAPOFIKA.
Next Article ELIMU YA AFYA UZAZI ITOLEWE SHULENI ILI KUMLINDA MTOTO WA KIKE ASIPATE UJAUZITO
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?