By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: MTOTO WA TWAHA RUBAHA KIDUKU, SAMEER TWAHA AKABIDHIWA UBALOZI WA GREEN APPLE DAY CARE CENTERS
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Elimu > MTOTO WA TWAHA RUBAHA KIDUKU, SAMEER TWAHA AKABIDHIWA UBALOZI WA GREEN APPLE DAY CARE CENTERS
ElimuUncategorized

MTOTO WA TWAHA RUBAHA KIDUKU, SAMEER TWAHA AKABIDHIWA UBALOZI WA GREEN APPLE DAY CARE CENTERS

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/29 at 2:30 PM
By Tanzania Kids Time 3 Min Read
Share
SHARE

 

Sameer Twaha ambaye ni mtoto wa Bondia anayefanya
vizuri nchini Tanzania amepewa ubalozi wa kuvitangaza vituo vya kulelea watoto
mchana, vya Green Apple day care Centers vilivyopo Kata ya Kilakala, Kata ya
Mazimbu na Kata ya Mkundi katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro ubalozi
utakaodumu kwa kwa muda wa miaka miwili.

Bondia Twaha Kiduku akisani mikataba ya ubalozi wa Mwanae Sameer Twaha.

Akizungumza katika mkutano na waandishi wa Habari
uliofanyika katika Kituo cha kata ya Kilakala, Mkurugenzi wa Green Apple day
care, Mwajabu Kusaga alisema
 “mimi kama
Mkurugenzi wa Gree Apple na
 mdau wa
watoto tumeona Sameer awe Balozi wa vituo vyetu vya day care ni kwanini Sameer,
kwasababu kama ambavyo Baba yake Sameer kwa kipaji alichonacho na sisi pia
Green Apple tunaamini kwenye vipaji vya watoto, sasa tukaona kwa kumtumia
Sameer na nembo ya Baba yake hivyo ni mudada wa Sameer kuweza kuhamasisha watoto
wengine waweze kujihusisha katika vipaji mbalimbali walivyonavyo ikiwemo Ngumi’’

Nae Bondia Twaha Rubaha Kiduku amepokea vyema
ubalozi wa mtoto wake akishukuru uongozi wa Shule za Green Apple kwa kumchagua
mtoto wake kuwa balozi wa Green Apple day care.

“Nipende kuwaambia watu wa Morogoro wenye watoto wao
wa umri kama huu kuwaleta watoto wao katika vituo vya Green Apple day care
centers kikukweli mazingira ni mazuri na kuna utulivu” alisema Bondia Twaha
Rubaha maarufu Twaha kiduku.

Aishan Makeki ni watengenezaji wa Keki bora wanakukaribisha katika Ofisi yao iliyopo Masika Morogoro kwa mahitaji ya Keki popote ulipo watakuhudumia piga simu namba: 0713835087 au 0625900801.

Miongoni mwa waliohudhuria katika mkutano huo wa
waandishi wa Habari ni Mzazi aliyejitamburisha kwa jina moja la Rahma ambaye ni
mzazi wa mtoto Najma Ally anayesoma katika kituo cha Green Apple Kilakala,
alisema mtoto wake alivyompeleka hakuwa afahamu hata kuzungumza vizuri lakini
sasa anaweza hata kutaja majina yake na kujitamburisha kwa kiingereza pamoja na
kujiamini kwake kumeongezeka.

Chuo cha Victory kinachotoa mafunzo mbalimbali ikiwemo ujasiriamali, kinawakaribishia katika muhula mpya wa masomo kwanzia December 2021, chuo kipo Sabasaba jengo la CCM Mkoa wapigie sasa: 0715176176.

Rahma aliongeza kuwa “ mwanangu katika mtihani wa
mwezi wa sita alishika nafasi ya kwanza na mtihani wa mwezi wa kumi na mbili amekua
wa pili, kwa hiyo naweza sema kwamba Green Apple ni Shule nzuri sana na walimu
wake ni rafiki pia mtoto anakua na hamasa ya kwenda Shule”

You Might Also Like

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi

Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili

Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania

KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.

ENERGY AND NEO-COLONIALISM IN AFRICA, NO ANSWERS?

Tanzania Kids Time December 6, 2021
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article WATOTO WANANE WAMEHITIMU ELIMU YA KINDAGATE MJOI DAY CARE AND NURSERY SCHOOL WALEZI WAPONGEZWA
Next Article VIPAJI VYA WANAFUNZI WA SUN SHINE DAY CARE VYAWAKOSHA WAGENI WAALIKWA KATIKA MAHAFALI YA KUHITIMU CHEKECHEA
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?