By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: SHINE UP DAY CARE CENTER YATAJWA KUWA MKOMBOZI KWA WATOTO KUPATA ELIMU NA MALEZI BORA
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Elimu > SHINE UP DAY CARE CENTER YATAJWA KUWA MKOMBOZI KWA WATOTO KUPATA ELIMU NA MALEZI BORA
ElimuUncategorized

SHINE UP DAY CARE CENTER YATAJWA KUWA MKOMBOZI KWA WATOTO KUPATA ELIMU NA MALEZI BORA

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/29 at 2:30 PM
By Tanzania Kids Time 2 Min Read
Share
SHARE

 

Shine Up Day Care Center ni kati ya kituo cha
kulelea watoto mchana kilichopo mtaa wa mkwajuni kata ya Mindu ndani ya
Manispaa ya Morogoro, kituo hiki kilianzishwa mwaka 2020, na Mwaka 2021
kimetimiza miaka miwili na kufanya Mahafali yake ya pili tangu kuanzishwa kwake
mwaka 2020.

Kwa mujibu wa  Mkurugenzi wa kituo hicho Bi, Upendo Mchau kupitia
risala iliondaliwa kwa mgeni Rasimi alisema mwaka 2021 wamehitimu watoto kumi na
saba (17) ambao wote wamefauru kujiunga na shule ya msingi kuanza Darasa la
kwanza mwaka 2022 jambo ambalo ni miongoni mwa mafanikio ya kituo ikiwa ni
pamoja na kutoa malezi bora kwa watoto.

Afya ni mtaji wa kwanza katika maisha, ilikufanya yote uyatakayo ni lazima uwe na afya bora,Fukang Health Care niwataalamu wa kutibu magonjwa ya binadamu, wanapatikana Morogoro unaweza kuwapigia simu namba. 0758903458.

Mgeni Rasmi wa Mahafali ndg. Razack Seleman akiijibu
Risala hiyo alianza kwa kuwapongeza vijana wenzake wamiliki wa kituo kwa kuanzisha
kituo cha  kulelea watoto  ambacho kimekuwa msaada kwa jamii ya watu wa
Kata ya Mindu, na kuwa asa wazazi na walezi kufanya uchaguzi sahihi kuwapeleka
watoto wao Shine up day care kupata Elimu na malezi yaliyo bora.

Akizungumza kwa niaba ya wazazi, Mlezi wa Shine up
day care center Mchungaji Katana Mwangome alisema Kituo cha Shine up dad care kimebadilisha
maadili ya watoto kuwa mazuri nidham yao ikiongezeka hivyo wazazi wamekua na matumaini
makubwa ya kuwapata viongozi bora wa Taifa la kesho kupitia Shine up day care
Center.

Picha zenye ubora,Video zenye ubora na matangazo yenye ubora zaidi huandaliwa na vifaa vyenye ubora zaidi, kwa maana ya Camera za kisasa, unazipata Morogoro kwa ASAK TECHNOLOGY, sim 0658251765.

Miongoni mwa wageni wa heshima waliohudhuria
Mahafali ya Shine up day care center ni Diwani wa Kata ya Mindu Mheshimiwa
Zuberi Mkaraboko na Mwenyekiti wa Mtaa wa Mkwajuni Bwana Juma Balali.

 Na, Hamad Rashid.

You Might Also Like

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi

Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili

Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania

KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.

ENERGY AND NEO-COLONIALISM IN AFRICA, NO ANSWERS?

Tanzania Kids Time December 13, 2021
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article WAZAZI WAHIMIZWA KUWAPELEKA WATOTO WAO KITUO CHA VALENTINE DAY CARE CENTER KILICHOPO MAZIMBU
Next Article WANAWAKE WAKUMBUSHWA KUSHIRIKI KIKAMILIFU MALEZI YA WATOTO
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?