By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: HALI ILIVYO JUU YA VITENDO VYA UKATILI DHIDI YA WATOTO WAKIKE MKOA WA MOROGORO.
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Afya > HALI ILIVYO JUU YA VITENDO VYA UKATILI DHIDI YA WATOTO WAKIKE MKOA WA MOROGORO.
AfyaUkatiliUmasikini

HALI ILIVYO JUU YA VITENDO VYA UKATILI DHIDI YA WATOTO WAKIKE MKOA WA MOROGORO.

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/29 at 2:30 PM
By Tanzania Kids Time 3 Min Read
Share
SHARE

 

Nchini Tanzania umri wa balehe ni kipindi
kinachoambatana na hatari zaidi kwa wasichana, hasa kwa wale waishio katika
mazingira magumu, jambo linaloonyesha umuhimu wa kuongeza na kuendeleza
uimarishaji wa uelimishaji kuhusu usawa wa kijinsia, haki na maendeleo yao ya
wasichana.

Ili kuisaidia Serikali katika kuelimisha kundi hili
lililopo kwenye hatari zaidi, vyama vya kiraia, jamii, wazazi, walezi, viongozi
wa dini, viongozi wa kimila, wasichana na wavulana wenyewe wanapaswa kushiriki
kikamilifu kila mmoja kwa sehemu yake, ili kukabiliana na changamoto zinazo
wazunguka wasichana.

Mkoani
Morogoro nimezungumza na baadhi ya wasichana walio katika umri wa rika balehe,
kusikia wanafahamu nini kuhusu masuala ya ukatili wa kijinsia, Bakita Andrea mkazi wa Manispaa ya Morogoro
ni msichana mwenye umri wa miaka kumi natatu (13) mwanafunzi wa darasa la tano katika shule ya msingi saba saba “A” iliopo Manispaa ya Morogoro,
anaelezea vitendo vya ukatili.

“Ukatili ni unyanyasaji wa kijinsia
kwakuwafanyisha kazi ngumu zisizo endana na umri wao kuwapiga, kuwanyanyasa na
kuwatenga, ukatili huwakuta sana watoto wakike, wengine hufanyiwa ukatili na
wazazi wao, ndugu zao jamaa na marafiki n ahata walimu wao. Nakumbuka juzijuzi
shule ya Mazimbu alijinyonga mwanafunzi wa darasa la tano kwa kufanyiwa ukatili
na babayake aliharibika sehemu zake za siri kwasababu alikuwa akibakwa na
babayake” Amesema.

Aidha Bakita anasema madhara yanayoweza
kujitokeza kwa binti alie fanyiwa ukatili, “Ukatili
wa namna hiyo huleta madhara kwa mtoto wakike kwa kumuharibia sehemu za siri
nakumfanya awe hayupo makini darasani kwa sababu akiwa darasani mudawote nimtu
wakuwaza nikirudi nyumbani usiku kazi kwa baba ataanza kuni fanyia vitendo vya
ukatili”.

Bakita akapaza sauti yake kwaniaba ya
wasichana wengine kwa Serikali kuhusu watu wanao fanya vitendo vya ukatili
dhidi ya watoto wakike, “Serikali
ikomeshe vitendo vya ukatili na itoe adhabu kali kwa wale wanao wafanyia watu
vitendo vya ukatili”.

Hata hivyo Maria Mussa yeye ni mwanafunzi wa
darasa la saba shule ya msingi Uhuru iliopo katika Manispaa ya Morogoro,
anaeleza anayo yafahamu juu ya ukatili wanao fanyiwa watoto hasa wakike.

“Nakumbuka kulikuwa na watoto watatu waliokuwa
wakiishi na bibi, babu na binamu yao, kumbe binamu yao akawa kila siku anaingia
kwenye chumba cha hao watoto watu nyakati za usiku wakiwa wamelala na kuwa
fanyia ukatili kwa kuwarawiti na kuwambia wakipiga kelele nawaua”.

Maria akatoa ushauri kwa jamii hususani
wazazi, “Wazazi wawe wanawalinda watoto
na wawe wanakaa nao watoto karibu wenyewe kwa sababu watoto wakienda kulelewa
na watu wengine ndio wanawafanyia ukatili” Amesema.    


John Kabambala-TKT/UnnewsKiswahili-Morogoro.

You Might Also Like

THROUGH MZF NOW TRADITIONAL BIRTH ATTENDANCE THEY IMPROVE WOMEN’S WELL-BEING FOR SAFE DELIVERY

THE AMBASSADOR OF FINLAND IN TANZANIA, CONGRATULATES THE “IKIWA” PROJECT IMPLEMENTED BY SAWA ORGANIZATION

TOWARDS TEN YEARS OF MILELE ZANZIBAR FOUNDATION, READ THE ACHIEVEMENTS OF THE SHEHIA PROJECT

MABADILIKO YA HALI YA HEWA NITISHIO LINALOWAKABILI WANAWAKE WAJAWAZITO NA WATOTO.

MTI WA MATUMAINI WA ZINDULIWA ARUSHA: UNICEF

Tanzania Kids Time April 25, 2022
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article WANAFUNZI NA WALIMU WAELEZEA MANUFAA, KUKAMILIKA MRADI WA MADARASA YA UVIKO19
Next Article WAZAZI NI MUDA SASA WAKUWAFUNDISHA ELIMU YA AFYA YA UZAZI VIJANA BALEHE ILI KUPUNGUZA MAAMBUKIZI YA VVU
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?