By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Tanzania Kids Time
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Mazingira
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Wasiliana Nasi
Reading: MAHAKAMA YAAHIDI KUMUWEKEA ULINZI MTOTO ILI KUPUNGUZA UKATILI DHIDI YAO
Share
Notification Show More
Latest News
Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
TANZANIA WILL HOST CIGOFA4 TO FIND CONCRETE SOLUTIONS FOR YOUTH LAND QUESTIONS
Editor's Pick
Aa
Aa
Tanzania Kids Time
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Home
  • Afya
  • Elimu
  • Haki Za Watoto
  • Uchambuzi na Takwimu
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Contact
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Tanzania Kids Time > Blog > Uchambuzi na Takwimu > MAHAKAMA YAAHIDI KUMUWEKEA ULINZI MTOTO ILI KUPUNGUZA UKATILI DHIDI YAO
Uchambuzi na TakwimuUkatili

MAHAKAMA YAAHIDI KUMUWEKEA ULINZI MTOTO ILI KUPUNGUZA UKATILI DHIDI YAO

Tanzania Kids Time
Last updated: 2024/01/29 at 2:30 PM
By Tanzania Kids Time 2 Min Read
Share
SHARE

 

  Pichani ya Jaji Mfawidhi wa Mahakama kuu Kanda ya Morogoro Paul Joel Ngwembe akiwa Meza kuu.

Mahakama kuu kanda mpya ya Morogoro imeweka mikakati ya
kumlinda mtoto, kwa kutoa Elimu ya ulinzi wa mtoto kwa wananchi ili kupunguza
matukio ya ukatili dhidi yao.

Dhamira hiyo ilielezwa na Jaji Mfawidhi wa Mahakama kuu
kanda  ya Morogoro Mheshimiwa PAULO
NGWEMBE, wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Sheria nchini iliyofanyika Uwanja wa
Jamhuri Mkoa wa Morogoro.

Mheshimiwa PAULO NGWEMBE ambaye anatoka kituo cha Haki
jumishi kanda ya Morogoro, amesema matukio ya ukatili kwa watoto yamekithili
ndio maana wamewekeza nguvu kutoa Elimu kwa wananchi ili kumlinda mtoto.

 ‘’Mmeona matukio
mengi siku hizi yanatokea matukio mengi yanatokea, watoto wamebakwa, watoto
wameuwawa, sasa tunatoa Elimu ya Sheria kwa namna hiyo ili jamii iwe na
uelewa’’ alisema PAULO NGWEMBE.

Nae Naibu msajili wa Mahakama kuu Kanda ya Morogoro
SYLVESTER KAINDA alisema  ‘’watoto ambao
ni Taifa la kesho ni lazima walindwe sio tu na Sheria bali hata kijamii,
tusiachie tu Sheria kwa sababu mmomonyoko wa maadili pia unapelekea uwepo wa
matukio hatari sana kwa watoto hasa wa kike, tushirikiane kwa pamoja kupinga
vitendo hatari kwa maendeleo ya Mtoto’’.

Hafla ya uzinduzi wa wiki ya Sheria ilihusisha Bonanza la
michezo mbalimbali ikiwemo Riadha, Draft, Bao, Kuvuta Kamba, Kukimbia na Gunia,
Kukimbiza Kuku, mchezo wa Karata na Mpira wa miguu.

Wiki ya Sheria Nchini ilizinduliwa kitaifa Makao makuu ya Mahakama
Tanzania, Jijini Dodoma na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar HUSSEIN ALLY MWINYI na inatarajia kuhitimishwa Tarehe Mosi mwezi wa Pili 2022, ikiongozwa na
kaulimbiu isemayo ‘’zama za mapinduzi ya nne ya viwanda, safari ya maboresho kuelekea
mahakama mtandaoni’’
.

Na Hamad Rashid – Morogoro.

 

 

 

You Might Also Like

HATA SISI WATU WENYE ULEMAVU TUNAHAKI YA KUPATA ELIMU YA AFYA YA UZAZI

HISTORIA YA VAILETH BUKUKU MKAAZI WA MBEYA MJINI.

WAZAZI NI MUDA SASA WAKUWAFUNDISHA ELIMU YA AFYA YA UZAZI VIJANA BALEHE ILI KUPUNGUZA MAAMBUKIZI YA VVU

HALI ILIVYO JUU YA VITENDO VYA UKATILI DHIDI YA WATOTO WAKIKE MKOA WA MOROGORO.

WANAFUNZI NA WALIMU WAELEZEA MANUFAA, KUKAMILIKA MRADI WA MADARASA YA UVIKO19

Tanzania Kids Time January 24, 2022
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article WANAWAKE WAKUMBUSHWA KUSHIRIKI KIKAMILIFU MALEZI YA WATOTO
Next Article JAMII IMEKUMBUSHWA KUWAJALI WANAWAKE WAJANE NA KUWAPA MSAADA WANAPOHITAJI
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

Facebook Like
Twitter Follow
Youtube Subscribe
Telegram Follow
- Advertisement -
Ad image

Latest News

Mapendekezo ya Mradi wa Sauti zetu ni Muhimu kwa Mkakati wa Elimu Jumuishi
Elimu Haki Za Watoto
Mafanikio ya Shirika la SAWA Kuwezesha Wazazi Kuziishi Stadi za Maisha na Maadili
Elimu
Sababu ya Mradi wa ALiVE Kufanikiwa Kutengeneza Vinara Zaidi ya 300 Tanzania
Elimu Haki Za Watoto
KONGANI YA ELIMU YA MTANDAO WA ELIMU WA KIKANDA – RELI AFRIKA YAONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
Elimu
//

Tanzania Kids Time: A platform spotlighting children’s and women’s issues in Tanzania, focusing on education, health, and environmental conservation.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

© 2023 Tanzania Kids Time. Powered by Digital Media Innovation Program. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?